Recent content by BADILI TABIA

  1. BADILI TABIA

    Mdogo wangu ameoa ilihali hana kazi anakaa kwa wazazi wetu

    na wazazi wenu wameridhia kabisa...............
  2. BADILI TABIA

    Namuogopa mke wangu, anaweza kuniua

    Ndio ujitulize sasa.....
  3. BADILI TABIA

    Kaka yetu anasaidia ndugu wa mke wake, sisi hatusaidii

    Hii ni kweli kabisa Halafu wanaona kama.ni haki yao kuwapa fedha ya kujikimu
  4. BADILI TABIA

    Kaka yetu anasaidia ndugu wa mke wake, sisi hatusaidii

    Ndugu wa mume Mshaanza kutupia lawama mkewe......
  5. BADILI TABIA

    Katika ndoa, nani anatakiwa kuanza kumsalimia mwezie kati ya mume au mke?

    Yaani mkeo hajaitika salamu mwanaume mzima unaenda kumsimulia mzazi wako??????? Mwambie hapo hana mume ana ushumbwanda tu Halafu hakuwepo kwenye kikao kilichopita cha wanawake? Si makubaliano yalikuwa marufuku kuwa na mwanaume mmoja? Ona sasa......
  6. BADILI TABIA

    Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

    Sasa kinachokufanya usiamini wanawake ni nini? Kwani mlikubaliana wewe ndio.mwanaume wake.pekee? Au mlikubaliana kuwa ukimnunulia simu wanaume.wengine hawawezi kumpigia? Hiyo ni changamoto ndogo sana ya mapenzi, fanya ni hasara kama hasara nyingine
  7. BADILI TABIA

    Mume kamganda mchepuko miaka takriban 5

    Mganga wa nini Ina maana miaka yote 5 hatongozwi Muda huu alitakiwa awe na mwanaume wa ukweli alomzidi mumewe hadi dhambi Mwanamke u akuwaje na mwanaume mmoja? Baba yako huyo? Matokeo akiwa na mchepuko sugu unabaki kuwa single in marriage Mwambie apoe mwanaume mwenginr...mwenye hela na...
  8. BADILI TABIA

    Ambao mna marafiki huwa mnawapataje?

    Vicoba Fb whatsapp group Outings za maana sio uswazini Seminars n meetings Ofsn M
  9. BADILI TABIA

    Wanaharakati wa jinsia ya kike mpo wapi hapa? Au hili ndilo mnalolitaka?

    Acha bana Mwenzio anataka nandy aende ikulu na nguo ya harusi
Back
Top Bottom