Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,795
- 41,183
Urafiki huja automatically tu mkuu na mnakuta mnashare interest au mnaviews za aina moja.
Ila kwa asilimia kubwa sana urafiki tulionao ni unafiki tu wa viwango vya juu, hakuna uhalisia, hao unaowaona watu wa karibu sana ndio maadui wa hatari mno. So ni kuwa makini tu na binadamu wote.
Ila sio vibaya kutafuta watu ambao mnashare interest mfano mnaweza kaa masaa kadhaa mkijadili mambo mbali mbali bila kuboreka na bado mkakutana tena wakati mwingine.
Ila kwa asilimia kubwa sana urafiki tulionao ni unafiki tu wa viwango vya juu, hakuna uhalisia, hao unaowaona watu wa karibu sana ndio maadui wa hatari mno. So ni kuwa makini tu na binadamu wote.
Ila sio vibaya kutafuta watu ambao mnashare interest mfano mnaweza kaa masaa kadhaa mkijadili mambo mbali mbali bila kuboreka na bado mkakutana tena wakati mwingine.