TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,022
- 15,419
Umenikumbusha kamchepuko kangu kamoja kalikua kananiambia eti " hivi we unaona nilivyo mzuri unadhani wanaume wangapi wananitongoza? Hebu tuma hela nyingi..!" 😆😆😆 Nilikua nacheka sana na situmi hata mia 😄Shukuru sana kwa huyo mwanamke,nakushauri umtumbue mama j halafu mpandishe rank huyu fundi nguo.
Sisi wengine tuna mkosi. .tukipewa mbususu ukaacha kahela kidogo tu kesho yake unapewa mkeka wa meseji
Vipi hali?.. nawewe umelala njaa kama mimi?
Kesho nauli ya kwenda kazini sina
Hela hunipi ntapata wapi hamu,ebu niachee
Nimekopa vitu vya 30k dukani,uje ulipe..