kichwakili
Member
- Aug 19, 2017
- 27
- 23
Habari ndugu zangu
Nina rafiki yangu kama Pete na kidole, huyu rafiki yangu amekuwa akiniomba ushauru maranyingi sana kuhusu nda yake mume wa huyu rafiki ajatulia hata kidogo kuna kipindi alikua anabadilisha michepuko lakini ikafikia kipindi akaganda kwa huyo mchepuko huu mwaka wa tano yuko na huyo mchepuko.
Rafiki yangu ameongea mpaka amekata tamaa na mbaya zaidi huyo shemeji yangu ataki kabisa mke wake amuongelee huyo mchepuko wake kwa mabaya akijaribu tu kumtukana huyo mchepuko unatokea ugomvi mkubwa sana.
Huyu bwana shemeji majukumu yote ya familia anatimiza isipo kuwa swala la sita kwa sita wanweza kumaliza hata mwenz mzima awajapeana tendo sasa huyu best yangu anataka kutafuta mganga amroge huyo mchepuko pamoja na kumroga mumewe ili asichepuke tena awe wake peke yake naliwasilisha hili kwenu wakuu mumpatie ushauri huyu best yangu.
Nina rafiki yangu kama Pete na kidole, huyu rafiki yangu amekuwa akiniomba ushauru maranyingi sana kuhusu nda yake mume wa huyu rafiki ajatulia hata kidogo kuna kipindi alikua anabadilisha michepuko lakini ikafikia kipindi akaganda kwa huyo mchepuko huu mwaka wa tano yuko na huyo mchepuko.
Rafiki yangu ameongea mpaka amekata tamaa na mbaya zaidi huyo shemeji yangu ataki kabisa mke wake amuongelee huyo mchepuko wake kwa mabaya akijaribu tu kumtukana huyo mchepuko unatokea ugomvi mkubwa sana.
Huyu bwana shemeji majukumu yote ya familia anatimiza isipo kuwa swala la sita kwa sita wanweza kumaliza hata mwenz mzima awajapeana tendo sasa huyu best yangu anataka kutafuta mganga amroge huyo mchepuko pamoja na kumroga mumewe ili asichepuke tena awe wake peke yake naliwasilisha hili kwenu wakuu mumpatie ushauri huyu best yangu.