Kwa Dunia ya Sasa kukaa uchi ndyo kupendeza.Matokeo yake wavulana wenye madomo zege hukimbilia mafichoni kwenda kujikamua.Alafu baadaye unashangaa wanawake wanalalamika ukosefu wa nguvu za kiume.
Wanawake wengi wanatumia ngono kama kiboko ya kumchapia mume. Na ukianguka kwenye huu mtego mwanamke atakuendesha kama gari bovu.
Kwanza atahakikisha anakukoleza na kukupa mahaba mazito ambayo hajawahi kuonekana Dunia hii. Ukiingia mzima mzima sasa ndyo unajikuta hujiwezi. Pasipo ngono basi...
Mkuu hapo hapo umenikumbusha nimeshuhudia Sana hii Kwa majirani zangu kiasi kwamba mpaka naona aibu kuuliza japokuwa najua sio jambo zuri.
Mara nyingi nimeshuhudia mama anamchukua mtoto wake wa kiume wa Miaka 5,6 au 7 wanaenda bafuni na wakitoka wote wameoga.
Usiongee Chochote ishi na yeye ni kama hayupo nguo zako jifulie,kula mgahawani,Jifulie,akikuongelesha kuwa bubu labda aongelee swala la kununua unga hapo umsikilize.Usimpe attention yeyote.Siku Tatu hatoboi akikuuliza chakula Cha mtoto kuwa bubu.Kaza.
Hajakubali Kununua unga hapo ilibidi ukae kimya na umuignore Wala usimpe attention alafu uendelee kula migahawani kwa muda. Yeye mwenyewe angechoka. Alikuwa anakupima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.