Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,861
- 4,432
Unashangaa 33 wakati mimi ni 45 na bado nagonga ugali nyumbani
Yaaah maisha bwana ndio yalivyo, hakuna kupumzika mpaka unaingia kaburiniHaki vile!watu Wana hustler Hadi sio poa yaani lakini mambo bado magumu,,,hakuna haja kuwadharau ambao hawajatoboa tuombeane,tutiane Moyo,inatosha!
Kuna mambo mengi ya kufikiria kwa kijana wa umri wa kuondoka nyumbani.Miaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani, inabidi uwe umesha leta impact.
Kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye historia ya Dunia.
Unamjua Alexander the Great, aliyoyafanya yote hadi kutawala almost Dunia nzima Aliya fanya kabla ya kufikia miaka 30 na alikufa akiwa 30'S, ila hadi saivi anakumbukwa na hawezi kusahaulika kwenye historia ya Dunia ingawa aliishi B.C huko.
Huo ni mfano mmoja tu ila ukiwa na miaka 30 inabidi uwe umeshafanya mambo makubwa tuu, hata kufa tayari, kama kina kanumba etc.
Fanya kitu leta impact amsha, kwani wewe ulikuja Duniani ku enjoy tuu?
Muda ni mchache sana, kama ulitaka kukaa milele si ungekua mlima, au hata uwe kobe uishi miaka 200+! Binadamu aliumbwa akapewa akili ili aje kuleta impact kwenye Dunia au wewe utashabikia tu Simba na Yanga, "Stop existing start living."
Kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12!
🤣Mwl, Nyerere hadi miaka 33+ hapa mzima Sio nyumba tu, hakuwa hata na geto.
Hapo kwenye Kutiana,upo tayari kwa hilo?Haki vile!watu Wana hustler Hadi sio poa yaani lakini mambo bado magumu,,,hakuna haja kuwadharau ambao hawajatoboa tuombeane,tutiane Moyo,inatosha!
Ndio unaweza amka ukashinda mkeka au Biko ghafra tukakusahauMoja ya mambo huwa yamewashinda kuyaelewa watu ni kufananisha Umri na mafanikio.
Miaka 30 unaweza ukawa hauna kitu chochote unachomiliki ,ikiwemo ,kazi, elimu, familia , n.k
Ila miaka 31 ukajikuta Una kila kitu.
Hapa duniani huwa hakuna umri wa kufanya jambo Fulani Ila huwa kuna wakati na majira ya kufanya jambo Fulani.
Jambo la muhimu ambalo kijana anabidi kuwa nalo ni kuwa sober 24/7
Umri huwa haumfanyi MTU afanikiwe wala asifanikiwe
Unaweza msoma hata founder wa KFC katoboa Ana miaka 65+yrs
Umeruhusiwaje kujiunga na JF kwa muri huo?Miaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani, inabidi uwe umesha leta impact.
.........
Kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12!
Akili yako ndio ilipoishia?Hapo kwenye Kutiana,upo tayari kwa hilo?
Unataka nihame niende wapi ???Miaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani, inabidi uwe umesha leta impact.
Kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye historia ya Dunia.
Unamjua Alexander the Great, aliyoyafanya yote hadi kutawala almost Dunia nzima Aliya fanya kabla ya kufikia miaka 30 na alikufa akiwa 30'S, ila hadi saivi anakumbukwa na hawezi kusahaulika kwenye historia ya Dunia ingawa aliishi B.C huko.
Huo ni mfano mmoja tu ila ukiwa na miaka 30 inabidi uwe umeshafanya mambo makubwa tuu, hata kufa tayari, kama kina kanumba etc.
Fanya kitu leta impact amsha, kwani wewe ulikuja Duniani ku enjoy tuu?
Muda ni mchache sana, kama ulitaka kukaa milele si ungekua mlima, au hata uwe kobe uishi miaka 200+! Binadamu aliumbwa akapewa akili ili aje kuleta impact kwenye Dunia au wewe utashabikia tu Simba na Yanga, "Stop existing start living."
Kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12!
uende ukaambatane na mumeo muwe mwili mmojaUnataka nihame niende wapi ???
alisha tokaga hadi aka sulubiwa akauwawa akafufukaHata Yesu yupo kwa baba ake mwaka wa 2000 huu
Akarudi kwa baba yakealisha tokaga hadi aka sulubiwa akauwawa akafufuka