Ukizawadiwa tunda kirahisi usile kwa mapepe

Jan 14, 2024
31
38
Hey guys wa JamiiForums,

Kuna kasumba moja sasa hivi, mwanamke anakuwa na mwanaume wengi kutokana na tamaa binafsi walizonazo wanajikuta wanapata mimba za kushtukiza.

Kama mimba ni ya jamaa asimjali huyo mwanamke ataangalia upande wa pili.

Kama ulikuwa unamtongoza na anakukatalia utaona anakurahisishia kukupa tunda.

Hiyo inatokea kama ataigundua mapema kwahivyo wale wapenda vitonga mtayavagaa.

Tena kwa wenzangu mnaoishi kwenye majiji makubwa kama Dar, Mwanza, Arusha na Mwanza ni hatari.

Ila wanasema kitanda hakizai haramu.

Kazi kwenu wazee
 
Ilinitokea lakini Mungu alikuwa upande wangu, jogoo aligoma kuwika kwa zaidi ya lisaa binti ananihamasisha kwa kila namna , koni sana lakini wapi. Aliposepa tu kwa kejeli kuwa siwezi kazi ngoma ikaniambia tupo gado mnara full bar. Akampachikiaga mwamba fulani ilawaliachana alipozaa maan amtoto laifanana na jamaa wa mtaani palepale mwingine kabisa.
 
Ilinitokea lakini Mungu alikuwa upande wangu, jogoo aligoma kuwika kwa zaidi ya lisaa binti ananihamasisha kwa kila namna , koni sana lakini wapi. Aliposepa tu kwa kejeli kuwa siwezi kazi ngoma ikaniambia tupo gado mnara full bar. Akampachikiaga mwamba fulani ilawaliachana alipozaa maan amtoto laifanana na jamaa wa mtaani palepale mwingine kabisa.
Pole kaka ifike sehemu tujue mungu huwa anatupa msaada bila Sisi kujua na maisha haya tuwe makini
 
Imewahi tokea kwangu mara mbili wa kwanza full kunipa attention wakati alinikataa kwa dharau nikampa mda mimba ikasoma nikasema punguani huyu
Mvumilivu hula mbivu nikampa mda akazaa akawa single mother kama wasemavyo kijana akakua hadi kuanza chekechea ndio nikapiga nikasepa sikuwa na namna alinifanyia sio poa
Mwingine ni WA juzi TU Kila nikipita namuangalia nacheka TU.
 
Back
Top Bottom