Ukishakuwa mtu mzima timamu huwezi kujaribu kutaka dunia iwe na msimamo wa kile unachoamini wewe kwamba ndiyo sahihi
Binadamu wote kabisa siyo sawa
Msemo wa binadamu wote ni sawa ni msemo batili
Kubali kwamba hatupo sana na uishi kwa amani kabisa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Binadamu wote kabisa siyo sawa
Msemo wa binadamu wote ni sawa ni msemo batili
Kubali kwamba hatupo sana na uishi kwa amani kabisa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app