Nyumba ya Vyumba vitatu, jiko, sitting room, chumba kimoja master. Eneo kubwaa linatosha kuzungusha fensi, dakika 5 main road ya kilwa road.
Mwandege iko mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga, unaanza...
Ipo kibaha visiga,nyumba ya kisasa,
Vyumba viwili,kimoja master,sebule ,dinning,jiko,
Uwanja mkubwa squire meter 800
Ina fensi ya kisasa.
Umeme na maji vipo,
Umbali km moja kutoka morogoro road...
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet.
Limejengwa ndani ya eneo...
Muundo wake Vyumba vitatu vya kulala kmoja n master bedroom seble jiko dining stoo na choo na bafu (CommonToilet)
Huduma zote maji umeme barabara vpo site mtaa mzurii uliojengeka kisasa sanaa...
Nyumba inauzwa Mwandege Magengeni barabara ya Kilwa road, wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani. Ina vyumba vinne sitting room chumba kimoja master, jiko, kisima cha maji, stoo ndani full tank.
Uani...
Nyumba inauzwa Mbezi Kibamba ina vyumba vitatu kimoja master, ina stoo, jiko, dinning room, sittng room, public toilet, full fency maji ya DAWASCO dakika 3 main road bei milioni 70...
Ipo maeneo ya Kinondoni.
Ghorofa moja, nyumba za chini pamoja na fremu mbili nje.
Kwa sasa bei 350,000,000 mil
Ina hatimiliki
Ukubwa wa eneo sqm 600
Inafaa kwa office, restaurant, hospital...
House for Sale
3 Bedrooms
1 Sitting Room
1 Kitchen
Plot size: 35 X 20
Location: Kibaha, Kwa Mathias, Tanzania
Price: 35,000,000 TZs ($15,225)
Call: +255 658 700 510
House For Sale
Location : Dundan Mkuranga near to neelsalt
Price : 45,000,000/ Negatiable
Details
3 bedroom 1 Master room
Big sitting room
Dinning room
Kitchen
Store
2 vallander
+
2 Flem
Plot...
1. Mahali : Kitunda Relini-Ilala Dar es Salaam.
2. Mtaa : Majani ya Chai/ Kwa Traffic
3. Umbali : Kutoka Barabara ya lami dakika 7
4. Kiwanja: Sqm 357
5. Hati: Hati ya Serikali ya Mtaa
6. Vyumba ...
Chanika Magenge, mtaa Toroka Uje.
Bei 16milioni. Serious buy nipigie tufanye biashara 0712347749, 0746474849.
Nyumba ina vyumba 3.
Master 1, viwili vya kawaida
Choo cha public kipo ndani...
OFFER OFFER OFFER [emoji95][emoji95][emoji95][emoji91][emoji91][emoji91]
*IMESHUKA BEI JUMBA LA KIFAHARI KIBAMBA KWA TZS. 180m, UNAWEZA KUTUTANGULIZIA 50m UKAINGIA, HALAFU INAYOBAKI UTATUAMBIA...
Nyumba inauzwa Tanga mjini, Kange
3 Masters Bedrooms na moja ipo ghorofani in sitting room.
3 Normal bedrooms.
Car garage (parking)
public toilet
kitchen
Siuting room & Dining room
Mabanda 7...
NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA BEI YA KUTUPWA. INA HATI MILIKI. IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU. BEI NI MILION 160 TU 0744993715
SIFA YA NYUMBA.
Vyumba vinne vya kulala kimojawapo ni Master kubwa...
Wakuu habari zenu? Nimeamua kuwaletea hii taarifa njema, hasa kwa wale wenye tamanio la kuishi Tabora (Unyamwezini) kwa watoto wa kiarabu.
Kiufupi ni kwamba nyumba ina sehemu mbili...
Nyumba kubwa...
Habari wakuu,
Nyumba inauzwa, ina, vyumba 6 na uwanja robo hekta,
Ipo karibu na chuo cha Hombolo ambacho kinawanafunzi elfu 8+
Pia unaweza kuifanya hostel kwani imezungukwa na Hostels pia.
Price...
Habari wana jukwaa...,
Nyumba ya ghorofa inauzwa. Ipo Kigamboni sehemu moja inaitwa DEGE,.. ni kama 20 km's kutoka Ferry. Documents zote zipo(Hati). Ghorofa lina vyumba sita vya kulala vyote ni...
Nyumba ya vyumba 3 vya kulala na sebule, ipo ndani ya fensi. Inahitaji marekebisho machache.
Uwanja una ukubwa wa 20m x 18m, hauna hati ila kuna mkataba wa mauziano ya kiwanja. Maji ya DAWASA na...
Ni nyumba yenye vyumba vitatu, viwili vikiwa ni master pamoja na sebule na dining room. Eneo Lina ukubwa wa MITA 70 kwa 21, kuna eneo la shamba kama linavyoonekana kwenye picha.
Bei yake ni nafuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.