House4Sale Boma linauzwa Manispaa ya Mtwara - Naliendele

Unasemeje

JF-Expert Member
Apr 29, 2021
249
916
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet.

Limejengwa ndani ya eneo lenye ukubwa wa 35x70 ( nusu ekari).

Sababu ya kuuza ni kuhamishwa kikazi.

Utanipa milioni 9 tu. Nitakuuzia mimi mwenyewe bila kuhusisha madalali.

Uuzwaji utafuata hatua zote na kushirikisha viongozi wa serikali na mwanasheria wako.

Pia nitakukabidhi ramani ili hatua zinazofuata ziendelee kwa ufanisi.
Naamini ukiona nyumba, mahali ilipo na ukubwa wa kiwanja unaweza ukahisi nimekupa tu bure.
 
ndege JOHN, kama vipi ile milioni 10 ya kuanzishia biashara ungenunulia hili boma. Na chenji inayobakia, oa katoto kazuri ka kimakonde kanakojua kumtunza mwanaume!

Hebu fanya uchukue haya maamuzi ya busara kutoka kwa mimi kaka yako, halafu utanishukuru baadaye.
 
ndege JOHN, kama vipi ile milioni 10 ya kuanzishia biashara ungenunulia hili boma. Na chenji inayobakia, oa katoto kazuri ka kimakonde kanakojua kumtunza mwanaume!

Hebu fanya uchukue haya maamuzi ya busara kutoka kwa mimi kaka yako, halafu utanishukuru baadaye.
Hahaa, aje atapenda mwenyewe, nimeamua kuuza kwa bei hiyo nipate mteja haraka.
 
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet.

Limejengwa ndani ya eneo lenye ukubwa wa 35x70 ( nusu ekari).

Sababu ya kuuza ni kuhamishwa kikazi.

Utanipa milioni 9 tu. Nitakuuzia mimi mwenyewe bila kuhusisha madalali.

Uuzwaji utafuata hatua zote na kushirikisha viongozi wa serikali na mwanasheria wako.

Pia nitakukabidhi ramani ili hatua zinazofuata ziendelee kwa ufanisi.
Naamini ukiona nyumba, mahali ilipo na ukubwa wa kiwanja unaweza ukahisi nimekupa tu bure.

+255 747 642 427

View attachment 2673228View attachment 2673229
View attachment 2673242
Hilo ingekuwa kipindi kile cha gesi ungepiga hela nyingi sana.sema siku hizi mtwara ni sawa na kijinini tu. hapo labda mtu anunuw kwa ajili ya kulima ufuta.

Ukipata mtu wa kukupa 5m pokea haraka sana.usipuuze ushauuri huuu.

sababu hapo karibu na chuo cha kilimo anachweza kufanya zaidi zaidi ni kulima kisasa
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hilo ingekuwa kipindi kile cha gesi ungepiga hela nyingi sana.sema siku hizi mtwara ni sawa na kijinini tu. hapo labda mtu anunuw kwa ajili ya kulima ufuta.

Ukipata mtu wa kukupa 5m pokea haraka sana.usipuuze ushauuri huuu.

sababu hapo karibu na chuo cha kilimo anachweza kufanya zaidi zaidi ni kulima kisasa
Kwahiyo sahivi gas imeisha sio?
 
Back
Top Bottom