2024 | NUNUA BIDHAA TOKA MATAIFA MBALIMBALI DUNIANI NA MZIGO UTAKUFIKIA MAHALA ULIOPO
UTANGULIZI
Je, kuna bidhaa unataka kununua toka nje ya nchi kwa sababu hapa Tanzania umetafuta na hukupata...
Laptop LENOVO inauzwa kwa Gharama ya 200k maongezi yapo.
Anapatikana Tabata Magengeni.
Condition-Used, inakaa na chaji dakika tano tu hivyo inatumika ikiwa kwenye umeme
Specs- RAM 4RAM HDD 300...
Habari za weekend, Wakuu.
Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake,
Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K,
Ipo katika hali nzuri...
Habari ya muda huu wakuu, naimani tuko wazima.
Karibuni sana NGC inapatikana uwanja wa ndege/Kipawa barabara ya karakata karibu na hotel ya New FQ hotel. S L P 70478 DSM
Email ...
Kiwanja kinauzwa kama ifuatavyo:
i: Mahali kilipo: Kwa bibi barabara ya Tabata/Segerea mita 20 toka barabara kuu.
ii: Eneo: Sqm 1,416
iii. Kina hati: Ndio
iv: Bei: 310m
v: Mawasiliano: +255...
Apartments for Sale
Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa.
Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool.
Inauzwa USD 220,000 (Dola laki...
Wapendwa poleni sana na majukumu ya kikazi. Mimi ni Mjasiriamali ambaye nimejikita haswa kwenye Biashara ya Mazao.
Kwa sasa natafuta Soko la Alozera, kama unahitaji takuuzia kwa Tsh. 5000 bei ya...
NAUZA KIWANJA CHANGU
📍Site located at Amani Mapinga Near EPLAS RECREATION
🧵Umbali:
👉 5 km kutoka Bunju
👉1.8 km kutoka Bagamoyo Road
👉2 km kutoka Baharini.(PLOT NEAR BEACH)
• Kiwanja kinagusa...
habari. kuna fremu inapangishwa maeneo ya bunju A barabaran awali ulikuwa inatumika kama maabara kwa sasa inapangiswa inahitaji 270 kwa mwezi na kodi ni meiz 6. ina luku yake panoja na choo pia...
Ni msimu wa mavuno ya mahindi sasa,
Hapa ni wilaya ya Mbinga, mkoa wa Ruvuma , ...
Bei ya mahindi ni 300tsh hadi 350 tshs kwa Kg
Karibuni,NINAYO SITE, godown kubwa, na facilities zingine...
UJENZI: Let us transform your design ideas into reality: NILE HOUSE DESIGNS (nilehousedesigns on instagram).
Karibu tukutengenezee nyumba ya ndoto yako, tuambie unataka nini na sisi tutaboresha...
Karibu kwenye ukulasa wa Dovillen Property.
Kwa mahitaji ya kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk
POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH...
Habarini za jioni!
Kama kichwa kinavyojieleza. Miezi sita ilopita nilitamani kufungua kijiwe cha games za Ps na kwa bahati nilifanikiwa kununua baadhi ya vitu lakini baada ya kupata kibarua mbali...
Habari ndugu zangu, Nissan Dualis ipo sokoni inaenda kwa Tsh mil 15
Mwaka 2009
CC 1990
Km 90k
Haina kipengele
Location Dar es Salaam-Tabata
Simu ziite ndugu zangu
0752463715
0776363230
Biashara...
Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nauza saloon yangu ya kiume(barbershop) iliyopo makongo stend (mageuzio).
Nimepata uhamisho wa kikazi hivyo haina budi kuiuza kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.