Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Kenya inatarajia kuwa imewapa chanjo watu milioni 26 ifikapo mwaka 2022, hadi sasa ni watu milioni 1.04 waliopata dozi ya kwanza ya Astrazeneca Waliopata dozi ya pili ni 633,000 huku kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Maambukizi ya COVID-19 yamezidi kuongezeka nchini Kenya baada ya kutangaza maambukizi mapya 1,006 yaliyorekodiwa saa 24 zilizopita na kufanya jumla ya maambukizi kuwa 199,941 Aidha wameripoti...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Watu 15 wameripotiwa kufariki kwa #COVID19 siku ya Jumapili na kufanya idadi ya waliokufa kwa virusi vya corona kufikia 3775 Hadi sasa kenya imepima watu 2,053,912 ambapo watu 192,758 walikutwa...
1 Reactions
5 Replies
984 Views
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza kuwa mtu wa kwanza amepona kabisa ugonjwa wa corona. ''Hii inamaanisha kuwa ugonjwa huu unaweza kukabiliwa''alisema rais Kenyatta katika hotiba yake kwa...
4 Reactions
21 Replies
13K Views
Kenya has recorded 400 new COVID-19 cases from a sample size of 5,068 tested in the last 24 hours, marking a positivity rate of 7.9%. In a statement issued on Tuesday, the Ministry of Health said...
1 Reactions
2 Replies
375 Views
Hizi ni Takwimu za bara Africa kufikia jana/leo Source: https://www.worldometers.info/coronavirus/ Nimejaribu ku highlight nchi za Mashariki mwa Africa Hapa ni ranking ya cumulative cases za...
2 Reactions
1 Replies
646 Views
Kenya imerekodi maambukizi mapya 148 ya Corona na kufanya kuwa na jumla ya maambukizi 172,639 tangu kuripotiwa COVID19 nchini Kenya. Ndani ya Saa 24 zilizopita watu 21 wamefariki kwa COVID19 na...
0 Reactions
5 Replies
942 Views
The government has reviewed COVID-19 containment measures in 13 counties within the Lake Basin region following a spike in the infection rate in the area. In a statement issued on Thursday...
0 Reactions
2 Replies
872 Views
RESEARCH in the employment of rats to sniff landmines, TB bacteria and other hidden pathogens will soon enable the Sokoine University of Agriculture (SUA) to field the rats to detect coronavirus...
2 Reactions
1 Replies
459 Views
May 10, 2021 Education Ministry Cabinet Secretary Prof. George Magoha has maintained that schools shall reopen on May 10, 2021 as earlier planned. The CS dispelled rumours that opening dates for...
0 Reactions
6 Replies
715 Views
- Mengi yanaendelea kuhusu chanjo ya covid ambayo ilitolewa ndan ya miezi michache tu na tukalazimishwa kuchanjwa wote bila kuuliza maswali, sasa taarifa nnayotoka kuskiliza apa ni kwamba achana...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Watu 177 ndani ya jiji la Nairobi wamekamatwa kwa kukiuka hatua za afya za kujikinga dhidi ya #COVID19 siku ya sikukuu ya Pasaka. Polisi wamesema wengi wao walikuwa katika maeneo ya kunywa pombe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Rais wa Kenya na mke wake wamekuwa miongoni mwa Wakenya wa mwanzo kabisa kujipatia chanjo ya Corona Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao...
10 Reactions
41 Replies
3K Views
Hii ishakua taabu. Phase 3 ya covid-19 imezua mtata sasa baada ya Rais Kenyatta kuagiza kufungwa(Partial Lockdown) kwa miji/mikoa hii;Nairobi,Machakos, Nakuru, Kajiado na Kiambu, kutokana na...
2 Reactions
40 Replies
4K Views
Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amekutwa na maambukizi ya #COVID19 lakini anaendelea vizuri katika hospitali ya Nairobi ambako amelazwa Odinga alilazwa tangu March 9 baada ya kuwa...
1 Reactions
66 Replies
7K Views
Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Kenya limeitaka serikali ya Kenya kukubali na kuruhusu kuruhusu chanjo zote halali za COVID-19. Kwamba kanisa katoliki limeruhusu mtandao wa hospitali...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Cement sales in Kenya hit a four-year high despite the Covid-19 lockdown that took a toll on the local economy. According to data from the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS), cement...
3 Reactions
6 Replies
629 Views
Zanzibar’s First Vice President Maalim Seif Sharif Hamad has died at the age of 77, less than a month after being hospitalized with COVID-19. Zanzibar President Hussein Mwinyi made the...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Sekta ya afya nchini Kenya inakabiliwa na msukusuko kutokana na mfululizo wa migomo ya wahudumu wa afya katikati ya janga la virusi vya corona. Muungano wa wahudumu wa maabara nchini Kenya...
0 Reactions
4 Replies
803 Views
Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) hivi karibuni ilitoa ripoti kuwa, mamilioni ya Wakenya wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula. Kutokana na ripoti hiyo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom