2008-03-04 09:59:30
By Lydia Shekighenda and Correspondent Felister Peter
Chama Cha Mapinduzi Secretary General Yusuf Makamba has said the ongoing
peace talks between his ruling party and...
'Unrest' as Hanang Residents Rush for Abandoned Wheat Farms.
Arusha Times (Arusha)
1 March 2008
Posted to the web 2 March 2008
At least three houses have been burnt down and others...
Nimepokea taarifa kuwa Ofisi za Brela zilizopo Dar zimeungua moto. Wenye taarifa zaidi kuhusiana na suala hili tunaomba watujulishe pamoja na extent of damage.
Kwa utajiri huu wa vyanzo vya nishati ni kwa nini Tanesco bado wanatupatia shida??? Ni nini kifanyike ili tuzitumia vizuri hizi nishati kwa manufaa ya nchi???
Ukiisoma hii publication unaweza...
Tanzania imengia mkataba na Barrick ili kuiruhusu kampuni hiyo kuchimba dhahabu. Barrick imeingia mkataba huo kwa niaba ya shareholders wake wakiwemo watu binafsi na makampuni mbali mbali...
On friday, there will be a new CD released with several tracks for our members to enjoy for the weekend. If you are a journalist or somebody interested just to satisfy your curiosity, don't...
Baada ya ndugu Pinda kuingia madarakani ameamua kuwa na timu ya watu wake .Pinda na watu wake sasa yuko bize kupata majina ya wakuu wapya wa Mikoa na baadaye nadhani Wilaya. Habari ambazo...
Lazima tulifuatilie swala hili hadi tujue ukweli umelalia wapi. Kama Muhimbili ndio wanasema ukweli kwamba hakuna vichanga vilivyopoteza uhai kwa kukosekana umeme, basi gazeti lililoandika habari...
ZIMBABWE STYLE LAND INVASIONS FORCE BRITISH INVESTORS FROM THIER HOME
On the eve of President Bushs visit to Tanzania, Zimbabwe style land invasions have begun in a country stated by President...
Wamchongea RC kwa JK
na Edward Ibabila, Mwanza
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
WAKAZI kadhaa wa mkoani hapa, wamemchongea Mkuu wa Mkoa (RC) wao , Dk. James Msekela, kwa Rais Jakaya Kikwete...
Tunakuomba wewe mtanzania, Kiongozi mwanasiasa, Tajiri na mwenye uwezo wa aina yoyote ile, utuwezeshe kwa namna yoyote ile tuweze kuponya maisha ya huyu ndugu yetu, Pia tunakuomba raisi hawa ndo...
Moja ya sifa iliyoingia nayo serikali ya awamu ya nne ni kuupunguza ujambazi ambao ulikithiri na kuhatarisha amani katika baadhi ya miji kama vile Dar es salaam, Arusha na Kilimanjaro. Katika...
JUST THINKING!
Pole pole inaanza kuonekana kuwa Wa-China, wanaweza kuwa ndio jawabu la waa-Afrika katika kupambana na ufisadi wa The West, katika kujikomboa kiuchumi. Biashara kati ya China...
Mkuu huyo wa Mkoa amemwambia Makamu huyo wa Rais kuwa Mara kuna utajiri mkubwa wa madini aina ya dhahabu katika vijiji 19 vya Wilaya ya Musoma Vijijini, vijiji 7 vya Wilaya ya Serengeti na pia...
Kikwete alilitoa alipoingia tu madarakani. Lowassa akalitoa mara kwa mara. Mama Sitta naye alilitoa mara kadhaa. Shein naye amelitoa tena. Lini litatekelezwa kwa ukamilifu wake? Kama vyombo vya...
WanaJambo wenzangu naomba kuwatumia salaam za mwaka mpya 2008.... Ni matumaini yangu kuwa huu utakuwa mwaka mwingine wa kuelimishana na kushauriana (pia in a way kuwashauri walioshika mpini)...
Naomba Kuuliza Swali. Je Ni Lini Haswa Mtanzania Kama Mtanzania Ataanza Kufaidi Ges Ya Songo Songo Ambayo Wamepewa Na Mungu? Wana Jf Naomba Mnijibu Kama Kuna Mwenye Jibu Maana Mwenzenu Niko Ktk...
Kuna haja ya kumuuliza JK, huu utamaduni wa mafisadi waliokupua mabilioni ya mapesa ya walipa kodi na hatimaye kuzirudisha pesa hizo huku wakiendelea kuwa huru umetoka wapi!? Kwa nini wasirudishe...
Ndugu zangu, kulingana na HOTUBA YA MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWENYE UFUNGUZI WA MKUTANO WA TAKURU, MBEYA, 20 FEBRUARI, 2006 ilikuwa inawapa mwanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.