Message nimepata chuo dar nimetoka mkoa nilitegemea mkopo ntapata ndo niendeshe masomo yangu sababu sina wakunisupport baba asha fariki na wakati wa application niliambatanisha vyeti vyote mapaka...
Inasemekana HESLB waliamua kureset passwords za accounts za wanafunzi walioomba mikopo na kukosa mikopo kwa awamu ya kwanza mpaka ya nne ili kufanya zoezi la kukata rufaa kushindikana kwa mwaka wa...
Habar za mdahuu wakubwa,,,
nnaomba kuereweshwa vizuri utaratibu wa kurudia mtihan wa kidato Cha nne ni lazma kurudia masomo yote!??
au unaweza rudia hata somo moja!???
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini Tanzania imetoa awamu ya nne kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2018/2019 ambapo majina na allocation tayari yametumwa vyuoni.
Mpaka kufikia leo tarehe 18...
Nina physics C chemistry B bios D olevel plus diploma pharmaceutical Science GPA 3.8 naweza pata Chuo kusoma Bsc pharmacy...???.. coz nimetishwa na kigezo cha olevel credit of bios and chemistry...
Wapendwa nimepata story kutoka Junior Seminary Morogoro wamevunja mkataba na mzabuni aliyekuwa na tender ya Ku supply mikate (burge) kwa ajili ya wanafunzi na kuamua kutumia wanafunzi kujipikia...
Wanadau kwa yoyote mwenye dondoo juu ya hasa ni lini selection za round ya tatu zinatoka tupeane update kupitia uzi huu. Maana siku zinasonga kwa kasi halafu wengi hatujui hatma yetu.
Tafadhali...
Wakuu habari zenu? Kuna tetesi zinaenea kuwa matokeo ya darasa la saba yanaweza kufutwa kutokana na hali ya uzembe ya usimamizi wa mitihani hizi habari zimekaaje wakuu ni kweli au porojo tu!
Jaman tulio apply nursing na pharmacy St Joseph college of health Tanzania tukutane hapa maana mi upande wang nimeapply nursing diploma ila bado cjapata taarifa zozote
Habari wanajamvi....kuna yeyote Mwenye ufahamu kuhusu walimu walioajiriwa mwezi June / July wa Shule za msingi mwaka huu 2018 kuwa hawajaingizwa kwenye mfumo wa ulipwaji mishahara (Payroll) ...Na...
Habari zenu wakuu nakuja mbele zenu katika kupata mawazo yenu ni kozi gani/ipi itanifaa kusomea veta pale keko chang'ombe kwa mwaka wa masomo 2019.kati ya kozi hizi zifuatazo.
1:umeme wa magari...
Kwa wale tulio Apply IFM naomba tujuzane kipi kinaendelea; make tangia jana kila ninapo ingiza CODE zangu ili ni Confirm ngoma ina search tuu bila majibu, namba za simu nazo hazipatikani.
Habari JF,nime chaguliwa bachelor degree in biology chuo cha udom naomba kujua niki soma hiyo kozi baadae nta kuwa nani? au nta weza fanya kazi gani kulingana na hii kozi. Mawazo yenu muhim sana
Mambo jf,nime chaguliwa bachelor degree in biology chuo cha udom naomba kujua niki soma hiyo kozi baadae nta kuwa nani? au nta weza fanya kazi gani kulingana na hii kozi. Mawazo yenu muhim sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.