Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

  • Closed
Kujitenga ni kwa ajili ya watu wenye dalili za Korona pamoja na ambao hawana dalili lakini wamepima na kuthibitika kuwa wana virusi vya Korona Hatua za kuchukua ni kama zifuatazo:- Kaa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Unashauriwa kuwalinda wanyama kama vile unavyowalinda binadamu Usiruhusu wanyama kushikwa na watu nje ya kaya Ikiwa mtu ndani ya nyumba anaugua, mtenge mtu huyo na wanyama kama utavyomtenga na...
1 Reactions
1 Replies
958 Views
  • Closed
Kwa mujibu wa taasisi ya FOPH (Kituo cha Afya cha Taifa) ya nchini Uswisi, uwezekano wa vitu hivyo kubeba maambukizi ni mkubwa endapo mtu aliyeathirika atashika kitasa cha mlango au simu huku...
1 Reactions
0 Replies
821 Views
  • Closed
Matumizi ya feni nyumbani ni salama kwa mzunguko wa hewa kati ya wanafamilia wanaoishi pamoja ambao hawajaambukizwa na virusi vya Korona Lakini, feni zinapaswa kuepukwa wakati ambapo watu ambao...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Closed
Kabla ya kugusa barakoa, safisha mikono yako na Sanitizer au maji na sabuni. Kagua barakoa kuona kama imechanika au kama ina matobo, usitumie barakoa ambayo imewahi kuvaliwa au imeharibika...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Barakoa hufanya kazi ya kunasa matone yaliyo na virusi tunayotoa tunapoongea, kukohoa au kupiga chafya. Husaidia katika kujilinda wewe na wanaokuzunguka dhidi ya virusi Ikiwa unaona barakoa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Uvutaji sigara hupunguza uwezo wa mapafu kufanya kazi na huongeza hatari ya maambukizi mengi ya njia ya upumuaji COVID-19 ni ugonjwa wa kuambukiza ambao kimsingi hushambulia mapafu Hivyo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Habari wadau, Leo nimeamua kuingia kwenye hii fani ya udaktari ili nami niweke neno kaa hapa chin basi uongeze maarifa. Ok nadhan kila mtu anajua kwa sasa kuna vuguvugu la chanjo dunia mzima tena...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
  • Closed
Anga la Tanzania limefunguliwa takribani wiki 2 zilizopita na nchi kuruhusu Watalii kuingia nchini. Utaratibu wa watalii kuingia nchini utahusisha upimaji wa joto wakiwa Uwanja wa Ndege na kisha...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Ugonjwa wa COVID-19 ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na Virusi vya Corona vilivyogunduliwa Mwaka 2019. Virusi vinavyosababisha COVID19 husambazwa haswa kupitia vitone vinavyotokana na...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Wakati dunia ikiendelea kupambana kudhibiti mlipuko wa CoronaVirus, Tanzania imetangaza kuendelea kwa shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii. Hii inapelekea Watanzania kulazimika kutafta namna...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
  • Closed
Baadhi ya wananchi wamelalamikia suala la watu mitaani kupuuzia ugonjwa wa #COVID19 na kuacha kuchukua tahadhari muhimu zinazoelekezwa kila siku na Wataalam wa Afya duniani Inaelezwa kuwa...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
  • Closed
Shirika la Afya Duniani(WHO) limeeleza kuwa watumiaji wa Sigara na Tumbaku wako kwenye hatari zaidi endapo Watabeba virusi kwenye viganja vyao WHO imesema kuwa kitendo cha uvutaji wa Sigara na...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
  • Closed
Sabuni hufanya kazi kwa kuharibu Molekyuli za kirusi cha Corona hasa Molekyuli za mafuta zinazounda ngao ya nje inayozunguka kirusi Ngao ya nje ya kirusi ina mafuta ambayo hukisaidia kirusi...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
  • Closed
UTANGULIZI Barakoa (mask) ni kikinga pua na mdomo na ni nyenzo muhimu inayoweza kutumika kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya vimelea vya maradhi kupitia njia ya hewa. Kuna aina mbalimbali za...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, ‘surgical masks’ na mask aina ya N95 hazipaswi kufuliwa wala kuvaliwa zaidi ya mara moja. Baada ya matumizi, ikiloa au kila baada ya saa 4, mask ivuliwe kwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Fanya Mikutano na Vikao kwa Njia ya Video: VideoTime (bure), Jami (bure), Jitsi Meet (bure) Watu wengi ulimwenguni kote wamekuwa wakitumia Zoom, na kuongezeka hivi kwa watumiaji wapya kumeleta...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Closed
MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MATUMIZI YA BARAKOA Uvaaji wa barakoa au “mask” ni moja ya njia za kujikinga na maambukizi ya magonjwa mbalimbali ya kuambukiza. Katika kudhibiti kusambaa kwa Virusi...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Closed
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limetoa taarifa ya kusisitiza kuwa kuambukizwa ugonjwa huo unaosababishwa na Virusi vya Corona si mwisho wa maisha Imeelezwa kuwa Watu waliopata...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
  • Closed
Watu wamekuwa wakiendelea kuitikia wito wa kukaa nyumbani na kuepuka mizunguko isiyokuwa na ulazima ili kujilinda dhidi ya maambukizi ya #COVID19. Hata hivyo watu wamekuwa wakijihusisha na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom