International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Kuonesha wazi UN wamejikita wakingia kifua wa Hamas, mambo yamekuwa Magumu sasa kuhusu Idadi ya Watoto na kina Mama waliopoteza uhai tokea Ugaidi wa Hamas ulipoibuka ghafla Mnamo October 7th 2023...
3 Reactions
12 Replies
888 Views
Ukanda wa Gaza: Makumi ya roketi yarushwa kuelekea Israeli. Makumi ya roketi yamerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel Jumamosi asubuhi, Oktoba 7, na kusitisha makubaliano ya usitishwaji...
39 Reactions
9K Replies
902K Views
Ama kwa Hakika huyu Waziri Mkuu wa Slovakia anahitaji kupongezwa. Kwa niaba ya wapenda amani duniani tunakupongeza mno Mr. Robert Fico kwa kukataa maombi ya kifedhuli ya Zelensky na viongozi wa...
25 Reactions
58 Replies
3K Views
Rais Bola Tinubu ameagiza mashirika yote ya serikali kununua magari yanayotumia gesi pekee kama sehemu ya juhudi za nchi hiyo za kuhamisisha na kuhamia katika matumizi ya nishati safi na kupunguza...
1 Reactions
4 Replies
622 Views
Bunge la Ukraine limepasisha muswada wa sheria inayoruhusu kukusanywa na kusajiliwa jeshini wafungwa wa nchi hiyo. Tovuti ya habari ya Russia Today imeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, rasimu...
1 Reactions
22 Replies
963 Views
Serikali ya Nigeria, Alhamisi iliahidi kuwaadhibu waliohusika na shambulizi la ndege zisizo na rubani na kuua takriban raia 85 kimakosa huku shutuma na wito wa kufanyika uchunguzi ukiongezeka...
0 Reactions
6 Replies
724 Views
Sijui watahamia wapi au waje huku kwa wanaopenda kufia haya mavitu... US Secretary of State Anthony Blinken warned Qatar last month that they should expel Hamas senior officials if the terror...
6 Reactions
103 Replies
2K Views
  • Redirect
Haya magari ya UN yakifyatuliwa msipige makelele... Hawa magaidi wa kiislamu wameona haitoshi kujificha kwenye ndani ya watoto na akina mama, sasa wanatumia magari ya UN...
0 Reactions
Replies
Views
Tangu mwaka 2021ambapo kikundi cha wanamgambo wenye itikadi kali ya kiislamu cha Taliban kiliposhika hatamu nchini Afghanistan, na kuondoka kwa aibu majeshi ya Marekani yaliyokaa nchini humo kwa...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
Kiukweli waarabu washukuru sana wanapambana na Israel maana ingekua Urusi au Wachina wasingekua na hizi huruma, wao hupiga kitu kinachoitwa carpet bombing, Israel wana uwezo wa kusambaratisha kila...
3 Reactions
72 Replies
2K Views
WASHINGTON (AP) — President Donald Trump signed an executive order Monday that will require federal agencies to purchase products using more American components. The order strengthens the...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Sababu 3 kwa nini dola haiwezi kuondolewa kama sarafu kuu duniani. Hadhi ya dola kama sarafu kuu ya benki kuu na kwa biashara ya kimataifa pengine haififii hivi karibuni, kulingana na Morgan...
1 Reactions
10 Replies
773 Views
Licha ya mapungufu yake ambayo kila mtu anayo lakini Gadaffi alikuwa special one. Huyu bwana mdogo aliyezaliwa Qasr Abu Hadi 1942 katika umri mdogo kabisa hata miaka 30 hajafikisha ni katika umri...
3 Reactions
26 Replies
478 Views
HISTORIA YA ISRAEL Ukiongelea Taifa la Israel lazima ufafanue unaongelea Israel ya zamani au Israel ya sasa. ISRAEL 1.Modern Israel (Israel ya sasa) 2.Ancient Israel (Israel ya Zamani) Kujua...
33 Reactions
557 Replies
16K Views
Mkuu wa Pentagon Lloyd Austin anaamini kwamba ikiwa Ukraine itapoteza vita kamili na Urusi, nchi hiyo ya pili italazimika kupigana na Muungano mzima wa Atlantiki ya Kaskazini maarufu kama (NATO)...
2 Reactions
48 Replies
3K Views
Kwa lugha nyepesi ni kwamba misaada, watu na vinginevyo haviwezi kuingia moja kwa moja Gaza mpakani Rafah bila ukaguzi na idhini ya Israel. Jeshi la Israel limechukua udhibiti wa mpaka wa Rafah...
10 Reactions
78 Replies
3K Views
Rais Cyril Ramaphosa, Mei 15, 2024 anatarajiwa kusaini kuwa Sheria Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote unaolenga kutoa huduma bora za Afya kwa wote huku wanufaika wakubwa wakiwa ni Mamilioni ya Raia...
0 Reactions
2 Replies
288 Views
NASA says Magnetic Storm has reached level G-5 and at this level there can be power grid collapse MAY 10, 2024 NASA says Earth is presently being impacted by the first two, of SIX coronal mass...
4 Reactions
39 Replies
1K Views
House girl mwenyewe Bonge la pisi kali
22 Reactions
52 Replies
5K Views
Mbinu za hali ya juu zinazotumiwa na wapiganaji wa Hamas kupambana na askari wa Israel wanaoelekea kuivamia Rafah,zimeelezwa na wachambuzi wa kuvita kuwa wapiganji hao bado wamejipanga kuendelea...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Back
Top Bottom