International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸 Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri. 1) Upande wa ndege hawana mpinzani 2) Mambo ya space science ni hatari...
17 Reactions
189 Replies
4K Views
Jeshi la IDF linaendelea na Kazi ya kutafuta Mateka kila kona ya mji wa Rafah.. mwendo ni kata funua hadi kieleweke. Masikitiko sana kupata Mateka wakiwa hai.. South Africa na Uturuki wanaona...
2 Reactions
26 Replies
442 Views
HISTORIC FIRST: Hezbollah Launches "AIR-STRIKE" Against Israel MAY 16, 2024 HITS: A Hezbollah airstrike just targeted a group of Israeli soldiers in a settlement near Lebanon. I repeat, A...
1 Reactions
7 Replies
331 Views
Yemen Downs yet ANOTHER U.S. MQ-9 "Reaper" Drone MAY 16, 2024 An American MQ9 drone was shot down by a Yemeni drone by the Houthis "Ansar Allah" organization in Marib Governorate, Yemen...
2 Reactions
8 Replies
240 Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
137K Replies
9M Views
GM corn set to stop man from spreading his seed Important notice:This article is more than 22 years old,so there is no doubt the maize is already being planted by farmers and we probably are...
1 Reactions
5 Replies
110 Views
Jamaa alikua anatoa ilmu ya kurani huku akiwalawiti hao wavulana, wakaamua kuungana na kumpa madawa ya usingizi, alipolala wakamuua.....bora akapewe mabikira kule. ‘He was sexually abusing us’: 6...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu...
5 Reactions
17 Replies
501 Views
Huyu mwalimu amepatikana na hatia huko Uingereza kwa kutembea na wanafunzi wake! A "predator" teacher has been found guilty of having sex with two schoolboys. Rebecca Joynes, 30, was found...
1 Reactions
8 Replies
240 Views
Wapalestina wana cha kujifunza, siku hizi hamna cha undugu, dumisheni amani kwenu hapo hii sio miaka ile mlikua mnapata msaada kisa dini au undugu. Hawa maskini wa Syria wanalazimika kurudi kwao...
3 Reactions
7 Replies
223 Views
Katika Hotuba ya Museveni amejaribu kuelezea matatizo yanayoikumba Afrika lakini pia kaelezea mgogoro wa Sudan akidai Katitka Mikutano ya mapatanisho kati ya waasi wa sudani kusini na sudan...
21 Reactions
139 Replies
3K Views
Utaratibu wa familia masikini kuuza watoto wa kike au kuwatoa kama malipo ya mkopo umekuwepo kwa muda mrefu Afghanistan ila kudorora kwa uchumi na kurudi kwa Taliban madarakani baada ya majeshi ya...
7 Reactions
105 Replies
2K Views
RUSSIA CONDUCTING MISSILE LAUNCHES OFF CALIFORNIA COASTLINE MAY 16, 2024 A Notice to Air Missions (NOTAM) has been issued off the coast of southern California, alerting pilots of Russian...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
1. Rafiki wa kweli hujulikana wakati wa dhiki: 2. Hii itakuwa habari mbaya mno kwa wasayuni wote kuanzia Tell Aviv, hadi Buza pande za kwa Mpalange huko. 3. Mwizi ni mwizi tu huyo ni wa...
1 Reactions
14 Replies
320 Views
Wanakumbi. 🇵🇸HAMS KWA ISRAEL: UTAJUTA KUVAMIA RAFAH Taarifa Rasmi ya Hamas: "Hatua zilizochukuliwa na jeshi la kigaidi katika maandalizi ya shambulio dhidi ya mji wa Rafah, ambao umejaa wakazi...
7 Reactions
154 Replies
5K Views
Mpaka sasa wameshapata funzo kwamba Myahudi akidhamiria anapiga tu, wamekubali kujiondokea, magaidi ya dini yabaki yenyewe panyooshwe kama kwingine kule. Mtakaobaki hapo msianze kusema akina mama...
9 Reactions
41 Replies
1K Views
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development) Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani...
11 Reactions
95 Replies
3K Views
Itabidi wafurushwe na kurejeshwa kwenye nchi zao..... New York City officials say nearly half of the 282 people arrested at pro-Palestinian protests on two campuses this past week are not...
3 Reactions
25 Replies
761 Views
Mpox ama monkey pox. Ni homa inayotokana na nyani. Inasemekana hadi sasa walioathirika ni 19,919 huku waliokufa 975 huko Congo. Dalili zake upele, homa, mgongo kuuma, kukosa nguvu, kichwa kuuma...
0 Reactions
5 Replies
194 Views
The Banking system of Cuba has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media all their money is gone from their accounts, and all Automated Teller Machines (ATM's) have been emptied...
6 Reactions
61 Replies
2K Views
Back
Top Bottom