Wakuu, taarifa mbaya za sasa ni kuwa mpiga picha wa Gazeti la Mwananchi, Mzee Omary Fungo amefariki leo asubuhi katika hospitali ya Malawi iliyopo Kiwalani Jijini Dar es Salaam.
Taratibu za...
Nimemjua Abdulkarim maarufu kwa jina la Bujji kwa kumsikia kwa muda mrefu kabla ya kukutananae uso kwa macho na sababu ya kumsikia kwa muda mrefu ni kuwa nilikuwa nikifuatilia siasa za Mafia...
Tunapokwenda Kanisani naomba tuiombee Roho ya ndugu yetu na rafiki wetu mpendwa Judge Projest Rugazia. Ameaga dunia. Mwenyezi Mungu aitakase Roho yake ampe uzima wa milele. Ni majonzi makubwa...
Aliyewahi kuwa muimbaji wa bendi ya ToT Rukia Juma ambae pia ni mama mzazi wa Isha Ramadhan (Isha Mashauzi) afariki Dunia , Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema.
=====
Mmiliki na...
Kwa maskitiko makubwa nimepokea taarifa ya kufariki kwa Mzee wetu Maarufu sana kwa Miji ya Moshi na Tanga miaka ya 1960es mpaka 1990es kwa biashara mbali mbali kilichotokea leo nyumbani kwake kwa...
Teddy Mwanambilimbi enzi za uhai wake
Wapenzi wa Sanaa kama mnamjua mtu social Kaka yetu Teddy Mwanambilimbi kaka yake Deo Mwanambilimbi ametutoka na hatunaye tena.
Bwana ametoa Bwana ametwa...
PROFESA MAVURA AFARIKI DUNIA NDANI YA NDEGE
Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Arusha (JKUAT), Profesa Ward Mavura amefariki dunia leo wakati akiwa kwenye ndege aliyokuwa akisafiria...
It is with sadness, I found about the passing of Fr. Joseph Bill, a friend and confidant for many years back. Nilimfahamu kwa karibu na kwake nilijifunza mengi.
Baadhi ya jinsi nilivyo sasa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.