Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ni habari mbaya ya kusikitisha mno kutokea Seregeti. Mwili wa mwendazake akiwa na ujauzito wa miezi tisa ulikutwa juu ya mti wa mwembe ukiwa umening'inia na hii ni baada ya kugunduliwa na Watoto...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Profesa wa Sayansi ya Siasa na Utawala aliyebobea Kikamilifu kwenye Masuala ya Mahusiano ya Kimataifa. Msomi huyu alilitumika Taifa lake kwa nguvu zake zote na kwa Uzalendo mkubwa akiwa Chuo...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Taarifa ya Msiba. Profesa wa Sheria UDSM, Josephat Kanywanyi kafariki Jumapili asubuhi tarehe 10.01.2021 Ibada ya kuaga mwili itafanyika Nkrumah Hall siku ya Jumanne saa tano asubuhi. Na Mazishi...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Umuofia Kwenu wana JF, Kheri ya Mwaka Mpya! Mtoto wa mwisho wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Rose Nyerere amefariki leo mjini Dar es Salaam. Taarifa za duru za uhakika zinaarifu kuwa Rose...
25 Reactions
252 Replies
45K Views
Mwili wake ulikutwa mtupu jirani na korongo ukiwa umechomwa na vitu vyenye ncha kali pamoja na kufanyiwa ukatili Tukio hilo la kusikitisha limetokea siku ya xmas ====== Mwanafunzi wa mwaka wa...
6 Reactions
174 Replies
19K Views
Kwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.
6 Reactions
111 Replies
20K Views
Mpendwa wetu ametutoka alfajiri ya kuamkia leo akipatiwa matibabu ya kibinadamu Hospitali ya Taifa Muhimbili Taratibu za mazishi zitatolewa baadaye Tunatoa pole kwa wafiwa na wote walioguswa na...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwataarifu kuwa Askofu wa Kanisa Katoliki Tanga Anthony Banzi afariki Dunia alfajiri ya leo Muhimbili National Hospital. RIP Askofu Banzi. Pumzika kwa Amani Baba...
5 Reactions
53 Replies
9K Views
Oho God. Mzee wa watu , Mtanzania huyu. Kipigo kimemfanya atoke duniani. Hiki kilio hakitawaaacha salama wanasiasa na vyombo vilivyoshiriki kuwatesa Watanzania . Nimepokea kwa masikitiko makubwa...
5 Reactions
78 Replies
8K Views
MKURUGENZI wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), Profesa Damian Gabagambi amefariki dunia hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo. Awali kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa NDC alikua...
2 Reactions
183 Replies
23K Views
Mfanyabiashara maarufu Dodoma, Ndugu Calvin Maimu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Tarehe 17/07/2020 katika Hospital ya Hindu Mandal Jijini Dar e Salaam. Mfanyabiashara huyo mkubwa alikuwa...
6 Reactions
84 Replies
19K Views
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema PROFESA MASUHA aliekuwa kitengo cha MECHANICAL COET amefariki dunia asubuhi ya leo. source: MTOTO WAKE
1 Reactions
109 Replies
28K Views
Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
23 Reactions
420 Replies
91K Views
Dr. Shika Hatunaye tena! Aliyewahi kuvuma kwa umaarufu katika mnada wa kununua nyumba za Lugumi! Amefariki hivi punde huko mkoani Mwanza baada ya kuugua kansa kwa mda mrefu! Mungu alitoa na...
12 Reactions
161 Replies
31K Views
Aliyekuwa msemaji wa jeshi la Polisi ndugu Aden Mwamunyange amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu. Mwamunyange ambaye ni Kaka wa Davis Mwamunyange aliyekuwa CDF. Mungu ailaze mahali...
17 Reactions
166 Replies
34K Views
Baada ya kupata huu ujumbe Ndugu zangu wana UDSM nasikitika kuwapa taarifa kuwa jana usiku wa saa tano na dakika 20 nilishuhudia mwana UDSM mwenzangu akigongwa na gari ndogo nyeusi, maeneo ya...
16 Reactions
105 Replies
19K Views
PROMINENT Congolese scholar and former University of Dar es Salaam History lecturer Prof Ernest Wamba dia Wamba has passed away in Bunia, Democratic Republic of Congo. Until Thursday morning...
18 Reactions
182 Replies
20K Views
Mwandishi wa Habari mkongwe ambaye amewahi kufanya kazi, sehemu mbalimbali na hatimae akafanya kazi UTPC chini yangu mimi, amefariki dunia jana asubuhi kwenye hospitali ya rufaa ya Bugando Jijini...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Kwa masikitiko makubwa tunapenda kuwajulisha members wote kuwa, mwenzetu Freetown hatunae tena,ametwaliwa kutoka kwenye ulimwengu huu. Kwa members wa zamani, nadhani mtakuwa mnaifahamu hii ID...
37 Reactions
149 Replies
15K Views
Mzee muungwana na mwenye hekima amefariki katika hospital ya Muhimbili. ======== 1. Usuli: Mh. JOB MALECELA LUSINDE, ambaye ni ndugu wa Mh. JOHN SAMWEL CIGWEYIMISI MALECELA, alizaliwa huko...
15 Reactions
47 Replies
10K Views
Back
Top Bottom