peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 13,063
- 21,818
Gazeti la Mwananchi, mnaomba radhi ukweli 😳
Wanaomjua Mkapa alifanya nini ni wenye umri wa 50 years and above ambao ni less than 20% ya population. Na kati ya hao wanaoingia kwenye mitandao ni less 40%.Haahaha uzuri waliuza swali kwa lugha ya kiingereza! Naamini waliopig kura ni watu wenye uwezo wa kufikiri vizuri na kutambua mambo kwa undani! Tulieni Machwa hii ni wenu!
Poll ni research, kuweka poll online inamaanisha unatafuta majibu na si kuwa una majibu yako. Binafsi sijaona walipokosea au "kujivua nguo" Ila pengine wanaopokea majibu ndio wana matatizoGazeti la Mwananchi wamejivua nguo, siku nyingine kama hawana uhakika na matokeo ya jambo wasijaribu kulifanya.
Kwa nini wasiweke wanayemtaka wao?Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonyesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikua sahihi wanaomba radhi😂.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Hapo nimewaza kuwa, 2025 kulia tuweke picha ya Mwendazake, Alafu kushoto tuweke saa100,Hahhahah hii weekend ni nzuri sana! Uchaguzi unakuja wajipange sana hasa wanapoamua kumponda Magufuli!
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza!Kwa nini wasiweke wanayemtaka wao?
Hovyo kabisa.
Hii Mwananchi yamejipambanuwa kuwa magazeti ya hovyo kabisa Tanzania.Siku ya kufa nyani miti yote huteleza!
Wengine walisimamia mengi lkn hawakuwa ma kipengele cha propaganda kama wengine. Magufuli hata akikohoa ni habari, akienda kanisani Jumapili na dunia yote inajua na wasanii wataongea usiku na mchana. Wananchi kwa attn kelele zitafika kila mahali pigisha kula utapata analysisJPM kusahaulika mioyoni mwa watu ni kazi sana
Wanaogopa sana maana Mama anaupiga mwingi! So wanaenda kinyume na wimbo lazima wa RESTRACT!Hii Mwananchi yamejipambanuwa kuwa magazeti ya hovyo kabisa Tanzania.
Wao walitegemea majibu ambayo walioulizwa hawakuyaunga mkono, badala ya kukubali matokeo wanakana vitendea kazi vyao kuwa ndiyo vibovu!Poll ni research, kuweka poll online inamaanisha unatafuta majibu na si kuwa una majibu yako. Binafsi sijaona walipokosea au "kujivua nguo" Ila pengine wanaopokea majibu ndio wana matatizo
Utafiti ni utafiti tu
Hairuhusiwi kusimamisa wagombea wawili ndani ya chama kimojaHapo nimewaza kuwa, 2025 kulia tuweke picha ya Mwendazake, Alafu kushoto tuweke saa100,
Mwendazake lazima aibuke na ushindi kiti cha uRais 😀😀😀
Ukiacha mwinyi, samia ndio raisi mbovu kuliko wote,Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonyesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikua sahihi wanaomba radhi😂.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Aliyosema Hashim Rungwe, kwamba wanasiasa wa upinzani hupewa rushwa wakati wanapoitwa kukutana; ni hayo hayo hata huku kwenye vyombo vya habari.Wanaogopa sana maana Mama anaupiga mwingi! So wanaenda kinyume na wimbo lazima wa RESTRACT!
Kwani hamuwezi kupigisha kura kwenye lile gazeti lenu la uhuru na nyie lilosema mama yenu hata gombea 2025 mpaka mfungie gazeti la watuMhariri wa hilo gazeti la kipumbavu afunguliwe mashtaka. Anatumia uhuru wake kijinga.
Makamu Mweneykiti chuzi alimnanga sana JPM juu ya makusanyo ya kodi kwenye utawala huu kuwa yako juu bila kutumia nguvu!Watu wamegaragazwa vibaya na shujaa, waendelee na pambio lao la unaupiga mwingi!😂