Mbuli yaza
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 388
- 322
hizo bei wananunua sukuma gang tu!Sukuma gang mtapata tabu sana mwaka huu
hizo bei wananunua sukuma gang tu!Sukuma gang mtapata tabu sana mwaka huu
Lita itafika 7,500 kabla ya 2027karizika na matendo yao ndiyo maana waziri wa fedha ni huyohuyo siku zote.miaka mitano tena petrol itafika 10000 Lita.
wezi wanashangiliaLita itafika 7,500 kabla ya 2027
Maza muda mwingi yupo angani badala ya kushughulikia matatizo ya wananchiwezi wanashangilia
kuna jimbo marekani walishakua na meya mbwa na binadamu wapi kibao wenye sifa ila mbwa akawa meya ndio bongo ipo siku tutaamua kuchagua mzimu wa magu kuliko hawa walioko hai sawa na wafu walioozaHapo nimewaza kuwa, 2025 kulia tuweke picha ya Mwendazake, Alafu kushoto tuweke saa100,
Mwendazake lazima aibuke na ushindi kiti cha uRais 😀😀😀
Pole mkuu,tafuta pesa uache makasirikohizo bei wananunua sukuma gang tu!
Jibu hoja, hayo ya kugalagaza mtandaoni yana impact gani kwenye urais wa Samia? Kwamba JPM atafufuka awe Rais ama? Akili mbovu sana wafuasi wa JPM!!😂 😂 😂 Chawa unajitahidi ila watu ndio wamegoma mama hakukaliki.
Hadi maiti imemgalagaza
Ni kweli kabisa. Picha ya Magu inaweza shindakuna jimbo marekani walishakua na meya mbwa na binadamu wapi kibao wenye sifa ila mbwa akawa meya ndio bongo ipo siku tutaamua kuchagua mzimu wa magu kuliko hawa walioko hai sawa na wafu waliooza
Kwani kuna kiongozi bongo hakuwai kuwa katili!?Nyie matahira sikutwa mlikua mnatekwa na yule shetani na yule domo kaya wenu alitiwa shaba huyo mnayemsifia leo
HAKUNA RAIS HAPA TZ AMBAYE HAJAWAHI KUWA KILLER.Jiwe alikua killer
imeandikwa...... walaaniwe wale wote wamtegemeao binaadamu..... kamfukueni sasaNilijua mapema na nilisema walio hai kushindanishwa na wafu haya mmemvua nguo mtu, waendelee kucheza na jina Mwendazake kwenye ajenda zao watadhalilika sana!
Ni wazi kabisa uwezo wa kujiongoza imeshindikana kabisa..... Hata tukiuliza sababu za kupanda kwa mafuta , utasikia Ukraine na urusi au Israel na Gaza ndo sababu.Petrol 3,480 buku ten unapata lita 2 serious? mwaka 2021 buku ten unapata lita 5+
😬😬😬😬😬😬kuna jimbo marekani walishakua na meya mbwa na binadamu wapi kibao wenye sifa ila mbwa akawa meya ndio bongo ipo siku tutaamua kuchagua mzimu wa magu kuliko hawa walioko hai sawa na wafu waliooza
Mbona kwao bei zipo chini na wakati ndiyo wanapigana?Ni wazi kabisa uwezo wa kujiongoza imeshindikana kabisa..... Hata tukiuliza sababu za kupanda kwa mafuta , utasikia Ukraine na urusi au Israel na Gaza ndo sababu.