nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 4,728
- 7,497
Duh!Si walitudanganya kwamba ni 50:50 economic benefits eti tungegawana faida pasu kwa pa
Duh!Si walitudanganya kwamba ni 50:50 economic benefits eti tungegawana faida pasu kwa pa
Duh!Sasa kama JPM hakulipa mishahara na miradi alijenga kwa mikopo mama anawezaje kufanya miradi, huku anaajiri huku anaongeza mishahara na uchumi hauporomoki
Wanyonge, walala hoi wala mihogo hawana access na The Citizen. Wote tunajua aina na haiba ya watu wanaofuatilia Media kama hiyo.Waliopiga kura itakuwa wanyonge walalahoi wala mihogo tu
Watu wa vijijini na The Citizen wapi na wapi shekh. Na kama kura wakipiga wa vijijini, watu kama SSH hawataambulia kura yoyote.Sema kura itakuwa imepigwa na vijana wengi wa 2000 na watu flani hivi wa vijijini ndio maana matokeo yapo hivyo.
1. BM
2. JK
3. SSH
4............
😂 😂 😂 Chawa unajitahidi ila watu ndio wamegoma mama hakukaliki.Kupanda madaraja ya mshahara ni statutory ila kwa JPM haikuwezekana ila mama kaingia na watu walipandishwa madaraja ya mishahara.
Then kuna increment ya mshahara hata kama ni 2-5 percent ila aliongeza mwaka jana even though watu walikejeli ila aliongeza.
Sasa kama JPM hakulipa mishahara na miradi alijenga kwa mikopo mama anawezaje kufanya miradi, huku anaajiri huku anaongeza mishahara na uchumi hauporomoki?
AiseeTimu jiwe-mataga watajivuna na kurusha maneno sana kwa kina ChoiceVariable Stuxnet chiembe na FaizaFoxy
Wale walioaminishwa kuwa unyonge ni sifa ya kujivuniaWatu wa vijijini na The Citizen wapi na wapi shekh. Na kama kura wakipiga wa vijijini, watu kama SSH hawataambulia kura yoyote.
Samia anakubalika na wala rushwa pekeeGazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi😂.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Maza hakubaliki hata kidogoHaahaha uzuri waliuza swali kwa lugha ya kiingereza! Naamini waliopig kura ni watu wenye uwezo wa kufikiri vizuri na kutambua mambo kwa undani! Tulieni Machwa hii ni wenu!
Petrol 3,480 buku ten unapata lita 2 serious? mwaka 2021 buku ten unapata lita 5+Ni Aibu sana kushindanishwa na maiti,, Alafu maiti ikaibuka na ushindi mnono 🤒🤒🤒🤒.
may be you can multiply to get desired result 17×17 adding will be less than 65, so born town will prevail.If anything, my take is Phase 4 (17%) = Phase 6 (17%).
Conclusion: The very same Borntown still in charge.
na change unapataPetrol 3,480 buku ten unapata lita 2 serious? mwaka 2021 buku ten unapata lita 5+
Maza kapandisha petrol mara 2 ndani ya miaka 3 tu, amezungukwa na mafisadi tupuna change unapata
Sukuma gang mtapata tabu sana mwaka huuNilijua mapema na nilisema walio hai kushindanishwa na wafu haya mmemvua nguo mtu, waendelee kucheza na jina Mwendazake kwenye ajenda zao watadhalilika sana!
karizika na matendo yao ndiyo maana waziri wa fedha ni huyohuyo siku zote.miaka mitano tena petrol itafika 10000 Lita.Maza kapandisha petrol mara 2 ndani ya miaka 3 tu, amezungukwa na mafisadi tupu
hizo bei wananunua sukuma gang tu!Sukuma gang mtapata tabu sana mwaka huu
Lita itafika 7,500 kabla ya 2027karizika na matendo yao ndiyo maana waziri wa fedha ni huyohuyo siku zote.miaka mitano tena petrol itafika 10000 Lita.
wezi wanashangiliaLita itafika 7,500 kabla ya 2027