Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,027
- 46,854
Lucas Mwashambwa hajabubujikwa machozi?
Hapana, chukua hii ndugu:Kuna watu wamekufa Ila wapo hai, kuna watu wapo hai lakin wamekufa tayari.Nilijua mapema na nilisema walio hai kushindanishwa na wafu haya mmemvua nguo mtu, waendelee kucheza na jina Mwendazake kwenye ajenda zao watadhalilika sana!
Gazeti la Kingereza la the Citizen anunue kilaza wa kijijini au mlala hoi kweli? Hao waliopiga kura ni wasomi na wanaojitambua bado wamempigia kura Magufuli kwa wingi! Mkijaribu kuja kwa wala mihogo mtatapa kura asilimia 2% aibu itakuwa kubwa zaidi!Hahahaha ila wana hela ya bando ya kuingia mtandaoni kupiga kura
Magufuli akiwa amelala kaburini chato bado anawagalagaza timu wazuri hawafi, nyumbu wa ufipa na mashoga zao wa ulaya halali mnune kila jina lake likitajwa.Timu jiwe-mataga watajivuna na kurusha maneno sana kwa kina ChoiceVariable Stuxnet chiembe na FaizaFoxy
Kuna watu wameingiza kura za maruhani kwenye box la kura.Magufuli akiwa amelala kaburini chato bado anawagalagaza timu wazuri hawafi, nyumbu wa ufipa na mashoga zao ulaya halali mnune kila jina lake likitajwa.
Hilo gazeti nalo Yoda nalo linamilikiwa na sukuma gang!?
Mashitaka ya nini?? Kwa kosa gani?Mhariri wa hilo gazeti la kipumbavu afunguliwe mashtaka. Anatumia uhuru wake kijinga.
The choice is yours truely.
Kwa jinsi ulivyo jaza matope utakuwa mzee wasira roho mbaya kama sura yako.Sema kura itakuwa imepigwa na vijana wengi wa 2000 na watu flani hivi wa vijijini ndio maana matokeo yapo hivyo.
1. BM
2. JK
3. SSH
4............
😂😂😂Timu jiwe-mataga watajivuna na kurusha maneno sana kwa kina ChoiceVariable Stuxnet chiembe na FaizaFoxy
Kwani online polls si ni moja ya tafiti tu mkuu. Hata wewe ukiingia Twitter unaweza anzisha poll yako na majibu yanakuwa si yako ila ya wapiga kuraMhariri wa hilo gazeti la kipumbavu afunguliwe mashtaka. Anatumia uhuru wake kijinga.
Hahahahaha....Gazeti la Kingereza la the Citizen anunue kilaza wa kijijini au mlala hoi kweli? Hao waliopiga kura ni wasomi na wanaojitambua bado wamempigia kura Magufuli kwa wingi! Mkijaribu kuja kwa wala mihogo mtatapa kura asilimia 2% aibu itakuwa kubwa zaidi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤝🤣👍Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonyesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikua sahihi wanaomba radhi😂.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Tundu Lisu azuru kaburi la Shujaa MagufuliWaliopiga kura itakuwa wanyonge walalahoi wala mihogo tu
Kwani zoezi la upigaji kura lilidumu kwa muda gani?Mhariri wa hilo gazeti la kipumbavu afunguliwe mashtaka. Anatumia uhuru wake kijinga.