Kwenye makaburi ya halaiki Gaza maiti waliofukuliwa wengine wamefungwa mikono na wengine dripu hazikuwahi kufunguliwa

Amezidi vipi wakati ni tabia ya wenye itikadi yenu,tumeona gaza kulikuwa/kuna maigizo ya kulia huku midoli imebebwa mikononi unapataje muda wa kuigiza katika mazingira yale?Hivi kuna aya ktk hiyo itikadi yenu inayozungumzia uhalali wa unafiki?
Bro mbona una akili za kipumbavu!?
Pingu zimekutwa zina kutu zingine zina alama zimechimba mikono ya maiti.
Utasemaje wamefukua na kuwafunga watu ili wasingizie!?
BBC NA CGTN zile maiti unazoziita midoli walitoa footage kuwa ni maiti halisi,unaziitaje midoli??
ACHA USENGE.
Hata kama una chuki ila usiwe na akili za kisenge namna hii.
 
Vita ha
Hamas kaanzisha vita kwa hiyo hayo uliyoandika kama ni kweli ni mojawapo ya matokeo ya vita aliyoianzisha Hamas
Vita hakuanzisha hamas.
Vita walianzisha jewish settlers waliokua wakiungwa mkono na IDF kuvamia mashamba ya wabedui na kuvunja nyumba za wapalestina Ramallah na Jenin.
Msijisahaulishe aisee tuna akili na tunaona.
 
Madaktari na watu wa afya kwenye eneo la Gaza wameshughulika sana kufukua makaburi ya halaiki baada ya vikosi vya Israel kuondoka maeneo ya mahospital waliyokuwa wakiyakalia.

Hali ni ya kutisha na kusikitisha sana baada ya watu waliokuwa wanatafuta ndugu zao kugundua maiti wengi wakiwa na dalili za kuzikwa wakiwa hai.

Maiti hao wengine walikuwa na pingu mikononi kuashiria ni wale waliodhaniwa ni wapiganaji wa Hamas.Wengine kati yao wamekuta na dripu mikononi mwao kuashiria kuwa walikuwa ni wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hizo.

Kazi hiyo mpaka sasa imefanyika kwenye hospitali chache kubwa katika mji mkuu wa Gaza na katikati ya eneo hilo.

Itakumbukwa kuwa jeshi la Israel mara kadhaa bila kutoa uthibitisho lilishutumu kuwa mahospitali ndiko walikokuwa wamejificha wapiganaji wa Hamas waliokuwa wakiwawinda.

La kushangaza ni kuwa kwa sasa hospitali karibu zote za Gaza ukiondoa chache zilizobaki Rafah zimepigwa na kugeuzwa kifusi.Wakati huo huo vita bado havijamalizika.
Pia uchunguzi ufanyike hamas walivamia sherehe ya wayahudi october 7 na kuwaua halaiki kama 260 nao wafanye uchunguze?
 
Wewe puguani kweli

Huko Gaza, miili iliyozikwa chini na jeshi la Israeli inafichuliwa popote unapochimba. Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani uhuru, utu na haki za binadamu hazina thamani.

Waliwadhalilisha Wapalestina kiasi kwamba hakuna anayeripoti au kulaani chochote.


View: https://x.com/suppressednws/status/1783601542680953165?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Shida iko wapi? Hao wafu wamewahishwa kwenda kumiliki bikra 72 na mito ya pombe,acha wakabikiri kwa raha zqo.
 
Pia uchunguzi ufanyike hamas walivamia sherehe ya wayahudi october 7 na kuwaua halaiki kama 260 nao wafanye uchunguze?
Uchunguzi ulikwishafanyika na kugundua mengi miongoni mwao ni kuwa idadi kubwa ya waliokufa waliuliwa na Israel yenyewe kutokana na kiwewe walichokipata.
 
Uchunguzi ulikwishafanyika na kugundua mengi miongoni mwao ni kuwa idadi kubwa ya waliokufa waliuliwa na Israel yenyewe kutokana na kiwewe walichokipata.
Hamas ndio walianzisha vita. Walaaniwe kwa kumwaga damu za wapalestina wasokua na hatia
 
Madaktari na watu wa afya kwenye eneo la Gaza wameshughulika sana kufukua makaburi ya halaiki baada ya vikosi vya Israel kuondoka maeneo ya mahospital waliyokuwa wakiyakalia.

Hali ni ya kutisha na kusikitisha sana baada ya watu waliokuwa wanatafuta ndugu zao kugundua maiti wengi wakiwa na dalili za kuzikwa wakiwa hai.

Maiti hao wengine walikuwa na pingu mikononi kuashiria ni wale waliodhaniwa ni wapiganaji wa Hamas.Wengine kati yao wamekuta na dripu mikononi mwao kuashiria kuwa walikuwa ni wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hizo.

Kazi hiyo mpaka sasa imefanyika kwenye hospitali chache kubwa katika mji mkuu wa Gaza na katikati ya eneo hilo.

Itakumbukwa kuwa jeshi la Israel mara kadhaa bila kutoa uthibitisho lilishutumu kuwa mahospitali ndiko walikokuwa wamejificha wapiganaji wa Hamas waliokuwa wakiwawinda.

La kushangaza ni kuwa kwa sasa hospitali karibu zote za Gaza ukiondoa chache zilizobaki Rafah zimepigwa na kugeuzwa kifusi.Wakati huo huo vita bado havijamalizika.
Wasiishie kusikitika tu.Wawakatae Hamas na kutafuta namna bora ya kuishi na Israeli.
 
Madaktari na watu wa afya kwenye eneo la Gaza wameshughulika sana kufukua makaburi ya halaiki baada ya vikosi vya Israel kuondoka maeneo ya mahospital waliyokuwa wakiyakalia.

Hali ni ya kutisha na kusikitisha sana baada ya watu waliokuwa wanatafuta ndugu zao kugundua maiti wengi wakiwa na dalili za kuzikwa wakiwa hai.

Maiti hao wengine walikuwa na pingu mikononi kuashiria ni wale waliodhaniwa ni wapiganaji wa Hamas.Wengine kati yao wamekuta na dripu mikononi mwao kuashiria kuwa walikuwa ni wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hizo.

Kazi hiyo mpaka sasa imefanyika kwenye hospitali chache kubwa katika mji mkuu wa Gaza na katikati ya eneo hilo.

Itakumbukwa kuwa jeshi la Israel mara kadhaa bila kutoa uthibitisho lilishutumu kuwa mahospitali ndiko walikokuwa wamejificha wapiganaji wa Hamas waliokuwa wakiwawinda.

La kushangaza ni kuwa kwa sasa hospitali karibu zote za Gaza ukiondoa chache zilizobaki Rafah zimepigwa na kugeuzwa kifusi.Wakati huo huo vita bado havijamalizika.
Picha wapi? Weee muhongo!
 
Kufukua Makaburi ni kazi ya Madaktari na watoa huduma za afya?
Ukute hao wafukuaji ni HAMAS wameenda na hizo pingu na na drip ili kuzifunga na kuzichima maiti walizozihifadhi hapo ili wapate picha za selfie wazi post, si unajua tena Wapalestina wanavyopenda selfie za madudedude ya kutisha.
Duhhh,wewe ni myahudi ??

Umeoa au umeolewa na myahudi??
 
Kufukua Makaburi ni kazi ya Madaktari na watoa huduma za afya?
Ukute hao wafukuaji ni HAMAS wameenda na hizo pingu na na drip ili kuzifunga na kuzichima maiti walizozihifadhi hapo ili wapate picha za selfie wazi post, si unajua tena Wapalestina wanavyopenda selfie za madudedude ya kutisha.
Duhhh,wewe ni myahudi ??

Umeoa au umeolewa na myahudi
 
Back
Top Bottom