Kero ya Mabasi ya Mikoani kuchochea udini

Hapa utawakuta Wagalatia wakitumia nguvu nyingi kutetea, Lakini wao ndio huwa wanaongoza kulalamika kwa ishu kama hizi
 
Mzee siupande yale hufungulia kaswida mwanzo hadi mwisho na mahubiri ya Mtume Muhamadi Muda wote shida nini? We ndio unaleta udini.
Mabasi ya Mtwara, Lindi na Tanga na zile bots za pemba na ugunja huwezi kuta nyimbo za Roze muhando wala bahati bukuku...ni swaga za Istaadh kipozeo na Nyundo wakisindikza kwa kaswidaa kwa mbaaaali.
 
HIZI DINI JINSI ZILIVYOMEA KWENYE BONGO ZETU TUNGEPATA NUSU YA HII KUIPENDA TANZANIA NA WATANZANIA TUNGEKUA IMARA SANA
 
Afadhari ungesema wenye mabasi wasiweke yale mafilamu ya thamthiria zisizo na maadili ungeeleweka!
Lakini kama yale mahubiri ya Kikristo hayatukani au kukashifu uislamu yana shida gani?
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Unaweza isemea na kero ya udini kwenye Azam marine?
 
Humo barabarani mna mambo mengi sanaa, mwanzo wa safari na kila mmoja aombe kwa imani yake AMEN

Mewaza nkakumbuka mada ya nyimbo za dini Bar/ama Night clubs ..... wote waliokuwa wamekaa utashangaa wananyanyuka na kuimba ama kucheza

Kila mmoja kwa imani yake na aseme In shaa Allah, In sha Allah, Insya Allah, and İn şa Allah,
 
Nadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Tatizo kumwita binaadamu mwenzako mungu huyo yesu ukikutana nae mbinguni atakuruka atakuuliza wapi nilikwambia mimi mungu?
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Mbona hazana inapigwa sa 11 alfaji watu tumepumzika mchana sa7 sa 12 jion sa 2 mpaka nikaamua kuhama pwani so potezea kama tunavyopotezea
 
Mkuu, je mabasi yanayo milikiwa na waislamu nayo wanawaburudisha ABIRIA kwa nyimbo za injili?
Pili, waislamu wa kweli wanaiamini injili. Wenyewe wsnaita INJIL.
Kama muislamu wa kweli nyimbo za kumsifu YESU zitakua hazikupi shida.
Imani Yao haienezwi Kwa kuhubiriwa Inaenezwa Kwa upanga
Kama hutaki unachinjwa
 
Mkuu, je mabasi yanayo milikiwa na waislamu nayo wanawaburudisha ABIRIA kwa nyimbo za injili?
Pili, waislamu wa kweli wanaiamini injili. Wenyewe wsnaita INJIL.
Kama muislamu wa kweli nyimbo za kumsifu YESU zitakua hazikupi shida.
Imani Yao haienezwi Kwa kuhubiriwa Inaenezwa Kwa upanga
Kama hutaki unachinjwa
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini

Panda mabasi ya Tanga, Mtwara, Lindi, Masasi halafu rudi tena kuandika uzi
 
Hapa utawakuta Wagalatia wakitumia nguvu nyingi kutetea, Lakini wao ndio huwa wanaongoza kulalamika kwa ishu kama hizi
Hakuna mkristo mwenye imani haba ya kulalama mambo madogo kama haya nikikupa mfano tuu mbona nyinyi wasaa Pelosi mnalazimisha kuchimba wanyama kwenye machinjio uliwahi kusikia mkristo kahoji hili mbona mmejaa chuki kila upande mungu gani aliyewaagiza laana hzii
 
Back
Top Bottom