Kama nyimbo za Injili zinakukera,utakuwa na matatizo.Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Hata wamiliki wengi wa mabasi hayo wa imani Fulani, lakini hatuna nongwa tunasafiri tuu.Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Huko Bara, wakristo wengi,Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Hivyo sio vyombo vya serikali mbona hulalamiki baadhi ya mabasi ya mwendokasi kuweka kaswida na mawaidha? Nenda Zanzibar kila gar ya abiria utakayopanda imeweka kaswida ama mawaidha na watu hatulalamiki tunaona fresh tu.Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Sisi waabudu mizimu tunataka kipaumbele piaMabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Kuna mtu alileta mada kuhusu Azam alishambuliwa sana na wenye imani husika.Yake yaleeee ya Azam, wacha tuoneee
Kuna mtu alileta mada kuhusu Azam alishambuliwa sana na wenye imani husik
Hii mada Nina Imani italeta mizania sawa,Kuna mtu alileta mada kuhusu Azam alishambuliwa sana na wenye imani husika.
Uliwaambia wapige vigodoro wakakataa? Hata hivyo hizo nyimbo humtaja Mungu zaidi, au haumpendi Mungu.Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Ukipata jibu la kwa nini Yesu anaeabudiwa na wengi ni yule jamaa alieigiza picha ya Yesu njoo tujadili kuhusu dini, kabla ya hapo tambua tu Dini ni Biashara za watu walianzisha kwa maslahi yao na walifanikiwa kwa 100%. Zamani mtu akiwa mjanja ni mjanja kweli na alikuwa anaogopwa kukerwa. Ndio maana ukiend akijijini kukawa na Tajiri mmoja utakuta anasikilizwa sana na ushauri wake unaonekan awa maana. Ndivyo ilivyokuwa hata zamani waliojanjaruka mapema ndio walifuatwa wanasema nini.Nadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Kwa hiyo unalawitiwaga siyo?Ingependeza za kulawitiana kabisa kwasababu huelewi namna ya kuchangia hoja umejawa na mihemko
Mabasi ya kwenda Tanga mengi yanapiga nyimbo za kiarabu
Hii umesababisha watu wasio waumini wa kiarabu wamekuwa wakizikwepa hizo basi
Iko hivi maudhui ya kiislam hayasikiliziki kwasababu siku zote yanahimiza chuki