crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,130
- 721
Kwa wale wastaarabu tu ndio wanaoelewa. Ni kero kwa abiria wachuuzi kuingia ndani ya mabasï kuuza vitu vyao. Mwenye shida anunué hapo nje na sio kupishana na matenga, maboksi na kupigiwa kelele. Nilishangaa nikiwa kwenye basi la NEW FORCE kuelekea Lindi hadi mabeseni ya samaki yanapita.
Kuna na ile tabia ya kitapeli ya kufanya promotiòn ndani ya mabasi wakiuza vipodozi, mafuta, dawa za meno n.k. Huu mtindo unaofadhiliwa na madereva ni kero kubwa sana. Usafiri wa mikoani unatakiwe uwe wa viwango vya kistaarabu sana maana tunakutana watu wenye picha tofauti kabisa.
Kuna na ile tabia ya kitapeli ya kufanya promotiòn ndani ya mabasi wakiuza vipodozi, mafuta, dawa za meno n.k. Huu mtindo unaofadhiliwa na madereva ni kero kubwa sana. Usafiri wa mikoani unatakiwe uwe wa viwango vya kistaarabu sana maana tunakutana watu wenye picha tofauti kabisa.