Kero ya Mabasi ya Mikoani kuchochea udini

Mabasi ya kwenda Tanga mengi yanapiga nyimbo za kiarabu

Hii umesababisha watu wasio waumini wa kiarabu wamekuwa wakizikwepa hizo basi

Iko hivi maudhui ya kiislam hayasikiliziki kwasababu siku zote yanahimiza chuki
Ushahidi
 
Kwa hiyo kupiga kelele asubuhi saa Kumi na moja Nao ni udini Sio?
Au adhana na mziki Kwenye basi Kipi kina sauti kubwa?
Ungepigwa wa Diamond asingelalamika
Mdini NI yupi hapo?
Vichwa vyeupe kabisa😂
Tumeongelea kwenye mabasi
Hatujaongelea msikitini au kanisani elewa mada kwenye MABASI YAENDAYO MIKOANI
 
Nadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Zaidi ya hadithi zenu za kale mnazopigiana na vitabu vyenu mlivyoletewa na mkoloni mweupe, hakuna any scientific evidence yeyote ya mtu anayeitwa Jesus christ aliwahi kuishi hii dunia au kufanya miujiza yeyote, mzungu aliwaharibu sana akili
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Unataka wapige nyimbo za kigaidi? Au za kubaka watoto wa miaka 9?
 
Mtoa hoja acha kulalama humu,wewe ndiye mfalme,tumia pesa yako pale atakapo pata value yake,achana na hayo mabus,safiri na bus la chaguo lako,hakuna aliyekukamatia 9mm kichwani mwako na kukulazimisha usafiri na Sauli!safiri na Abood as far as unafurahi
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Wakaazi wa Dar wananishangaza sana.Eti mabus ya mikoani hivi Dar si mkoa !.

Unatakiwa kufahamu 76% ya idadi ya watu Tanzania ni Christian.Sasa zikipigwa nyimbo za injili kuna shida gani.
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Kikawaida mabas yanayomilikiwa na Muslim,wafanyakazi wake kwa asilimia kubwa wanakuwa Muslim alafu wanaweka nyimbo za injili wenyewe apo napo tuseme nn?
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Hamna udini hapo, kama unaona yana kusumbua mwambie dereva azime au chagua basi lingine. Bottom line mwenye basi ndio ana power, unaona usumbufu nunua usafiri wako
 
Mabasi ya kwenda Tanga mengi yanapiga nyimbo za kiarabu

Hii umesababisha watu wasio waumini wa kiarabu wamekuwa wakizikwepa hizo basi

Iko hivi maudhui ya kiislam hayasikiliziki kwasababu siku zote yanahimiza chuki
Kuna mwaka nimepanda tashrif kwenda tanga,aisee minyimbo haieleweki,filamu za chuki kwa wasio waislamu yaani tabu tupu.
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Braza si Upande Basi hizi Tashrif, Tahmeed, Shabiby n.k kuepuka izo kero
 
Back
Top Bottom