Ww mwenyew subra imekufikisha wapiUna jina linaloendana na majina ya waislamu lkn wewe huujui uislamu. Hujasoma uislamu. Wewe sio muislamu.
Sifa moja kuu ya muislamu Ni MTU mwenye subira, MTU asiyekimbilia kutoa tusi.
Wewe huna subra
Ww mwenyew subra imekufikisha wapiUna jina linaloendana na majina ya waislamu lkn wewe huujui uislamu. Hujasoma uislamu. Wewe sio muislamu.
Sifa moja kuu ya muislamu Ni MTU mwenye subira, MTU asiyekimbilia kutoa tusi.
Wewe huna subra
UshahidiMabasi ya kwenda Tanga mengi yanapiga nyimbo za kiarabu
Hii umesababisha watu wasio waumini wa kiarabu wamekuwa wakizikwepa hizo basi
Iko hivi maudhui ya kiislam hayasikiliziki kwasababu siku zote yanahimiza chuki
Ndio maana nikasema ni matamanio ya nafsi na kutaka kupamba dini lkn ........................Isiwe tabu. Siku nyingine panda Ally's au Abood. Hutajutia
Tumeongelea kwenye mabasiKwa hiyo kupiga kelele asubuhi saa Kumi na moja Nao ni udini Sio?
Au adhana na mziki Kwenye basi Kipi kina sauti kubwa?
Ungepigwa wa Diamond asingelalamika
Mdini NI yupi hapo?
Vichwa vyeupe kabisa😂
Mkataba wako ukiisha ni basi mimi na wewe.....club zina sound proof, wewe ni nani??Niwe mpangaji wako halafu Nina miziki ndani WA maana utajua hujui napiga mpaka paa linatoka kutoka
Mm ni Yule mpangaji wako unataka kunisagau tnaMkataba wako ukiisha ni basi mimi na wewe.....club zina sound proof, wewe ni nani??
Zaidi ya hadithi zenu za kale mnazopigiana na vitabu vyenu mlivyoletewa na mkoloni mweupe, hakuna any scientific evidence yeyote ya mtu anayeitwa Jesus christ aliwahi kuishi hii dunia au kufanya miujiza yeyote, mzungu aliwaharibu sana akiliNadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Unataka wapige nyimbo za kigaidi? Au za kubaka watoto wa miaka 9?Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Wakaazi wa Dar wananishangaza sana.Eti mabus ya mikoani hivi Dar si mkoa !.Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Kikawaida mabas yanayomilikiwa na Muslim,wafanyakazi wake kwa asilimia kubwa wanakuwa Muslim alafu wanaweka nyimbo za injili wenyewe apo napo tuseme nn?Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Hamna udini hapo, kama unaona yana kusumbua mwambie dereva azime au chagua basi lingine. Bottom line mwenye basi ndio ana power, unaona usumbufu nunua usafiri wakoMabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Kuna mwaka nimepanda tashrif kwenda tanga,aisee minyimbo haieleweki,filamu za chuki kwa wasio waislamu yaani tabu tupu.Mabasi ya kwenda Tanga mengi yanapiga nyimbo za kiarabu
Hii umesababisha watu wasio waumini wa kiarabu wamekuwa wakizikwepa hizo basi
Iko hivi maudhui ya kiislam hayasikiliziki kwasababu siku zote yanahimiza chuki
Braza si Upande Basi hizi Tashrif, Tahmeed, Shabiby n.k kuepuka izo keroMabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini