mchumba

"Bwatue" is a song by Phil Ochs, a U.S. singer-songwriter best known for the protest songs he wrote in the 1960s. He co-wrote the song with two African musicians named Dijiba and Bukasa. "Bwatue" was written and recorded in 1973."Bwatue" was written while Ochs was visiting Kenya. Its lyrics are in Lingala. The title means "canoe"; the lyrics develop the river as a metaphor for life. "Bwatue" was released as a single in Africa by A&M Records. The B-side of the single, "Niko Mchumba Ngombe", also by Ochs, Dijiba, and Bukasa, was written in Swahili. Both songs were recorded by Ochs with the Pan-African Ngembo Rumba Band. The record was a commercial failure."Bwatue" and "Niko Mchumba Ngombe" have been described as early examples of blending Western popular music with world music, and critics note that they predate Paul Simon's Graceland by more than ten years. Still, one critic says the record "should be seen more as a curiosity rather than a serious attempt at exploring a new style". One of Ochs' biographers cynically suggests that Ochs recorded the songs in order to deduct the cost of his trip to Africa from his income tax as a business expense.In the early 1990s, the single was reissued in a limited edition of 1000 by Sparkle Records, ostensibly on behalf of the Phil Ochs Fan Club of Canada. The reissue was unauthorized and is considered a bootleg.The only known review of the single was positive. Reviewing the bootleg release in Dirty Linen, Cliff Furnald wrote that "the band gives a superb look at the Zaire/Kenyan dance style at the time before mass marketing started the diluting downward trend".Because of the single's limited release, "Bwatue" and "Niko Mchumba Ngombe" were extremely rare. Most Ochs fans never heard the songs before they were included in 1997's American Troubadour. "Niko Mchumba Ngombe" was also included in the 2004 collection Cross My Heart: An Introduction to Phil Ochs.

View More On Wikipedia.org
  1. Majighu2015

    Maisha baada ya usaliti

    Hivi ikitokea mchumba/mke amekusaliti na ukaamua kumsamehe, unawezaje kurudisha uaminifu na maisha yakaendelea? Kwa wale mliopona na kuamua kusamehe na kuendelea na maisha tupeni uzoefu wenu. Kwa uzoefu wangu naona hilo swala halitoki akilini mana nawaza kwa nini mtu ninayempenda aliamua...
  2. K

    Natafuta mchumba/ mwenza

    Mimi ni kijana wa miaka 30, mkristo, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja. Sifa za mwenzi ninayemtaka 1. Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea. 2. Dini yoyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi. 3. Ajitegemee kiuchumi na awe...
  3. U

    Mimi natafuta mchumba ambaye baadaye atakuwa mke wangu

    Mimi natafuta mchumba ambaye baadaye atakuwa mke wangu . Sifa zake. 1. Asiwe na tatizo la kiafya la kudumu. 2. Awe amemaliza la Saba au sekondari au chuo au chuo kikuu. 3. Awe amejiajiri mwenyewe, au ameajiriwa, au awe anaendesha miradi yake mwenyewe. 4. Awe anahofu ya Mungu. 5. Awe mkristo, na...
  4. U

    Nahitaji mke

    Natafuta mke, umri miaka 30 Hadi 40 Mkisto, mjasiriamali wa kati. Awe anaishi Dar. Mimi ni mfanyabiashara naishi Dar. Umri wangu ni miaka 45. Nahitaji mwenye Elimu ya sekondari hadi chuo kikuu. Ahsante. Ni PM
  5. Mjanja M1

    Mchumba hasomeshwi, muhanga SutiBega

    --- Kupitia akaunti yake ya Instagram Sutibega_ anaandika: "Wakati kakaangu Haji Manara anatafuta mke sahihi nilikuwa sielewi kwani niliambiwa wanaake wengi hawajui kushukuru hawajui thamani ya mtu anejitoa na kupambana hakuna siku nimeumia kama leo nakutambua kumbe nilikuwa daraja la mafanikio...
  6. 12345609

    Natafuta mchumba(ke)

    Umri ni miaka 26 ninatafuta mchumba(ke)akiwa na miaka 24 hadi 30 itakuwa safi na itapendeza kama utakuwa morogoro au dsm
  7. DeMostAdmired

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Karibuni katika kisa hiki kilichoacha alama isiyofutika katika moyo na MAISHA yangu. Nitaanzia mwaka 2019 nilipojiunga na chuo x hapa nchini. Tukiwa first year nilipata mchuchu mmoja wa kuitwa Mercy mtoto wa Kilimanjaro. Mercy alikua mtoto wa kishua, alikua mwembamba mrefu sura nyembamba ndefu...
  8. M

    Nahitaji Mchumba/boyfriend

    Habari wana Jf
  9. Ndama Jeuri

    Natafuta mchumba wa kike muislamu

    Awe muislamu Umri 20-30 Hajawahi kuolewa kama ana mtoto asizidi mmoja kabila lolote lile. Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea. Sifa zangu Umri 33 Mtumishi serikalini Sijawahi kuoa Mengine mengi tutajuzana PM ALIYE INTERESTED ANICHEK PM,tukimatch tufunge Ndoa before mwezi wa sita mwaka huu...
  10. U

    Kijana kamkimbia mchumba wake alietaka kumuoa baada ya kujua kwao kuna walemavu ni sawa?

    Binafsi mimi naona kijana kakosea, huenda alikuwa sahihi kumuacha ila namna alivyomuacha alikosea, ilibidi amuache kivingine, mkasa huu hapa nawapeni. Kuna kijana mdogo wa kiume miaka 26 tupo nae kazini alikuwa kwenye uchumba na binti wa miaka 22, wote ni wasomi binti kamaliza degree mwaka...
  11. Mjanja M1

    Hili ndio Gauni la Million 400 alilovaa Mchumba wa Haji Manara

    Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa. Hili ndio Gauni alilovaa Mchumba wa Manara lenye thamani ya Million 400. Watu wa karibu na Zay wanasema material zilizotumika kutengeneza hilo Gauni ndio zenye thamani ya Million 400. Nini maoni yako?
  12. Mjanja M1

    Video: Manara akimvisha pete Mchumba wake Zailyssa, amtoa machozi

    Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa. Manara alimvisha Pete ya uchumba mpenzi wake Zailyssa mbele ya umati wa watu walio hudhuria engagement party yao. ANGALIA VIDEO HAPA Written by Mjanja M1 Video from WasafiTv
  13. sonofobia

    Tumia hii Sala ya kuomba Mchumba Mwema: Utapata matokeo mazuri na utanishukuru

    Ee mwumba wetu, umewaunganisha watu katika ndoa takatifu nami natumaini kupokea Sakramenti hiyo na kushirikiana na mwenzangu wa ndoa maisha yangu yote. Kwa hiyo nakuomba ee Bwana unisaidie kuchagua kwa hekima, nipate mchumba mwema, safi na mwaminifu, nifuate zaidi uzuri wa roho kuliko wa uso...
  14. M

    Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

    Mchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake, binti mdogo Mwenye umri wa miaka 18. Mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa. Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi?
  15. E

    Natafuta mchumba

    Naitwa Abuubakari mkazi wa Dar es salaam Nmeajiliwa Natafuta mchumba ambae nitafunga nae ndoa, Sifa awe na Umri kuanzia 20-28 Muislam Mawasiliano zaidi 0759565300
  16. S

    Mchumba (wife material) ambaye hawezi kuendesha hata genge kwasabb kutoa chenji hawezi. Je, anafaa kuwa mke?

    Mteja wangu kaniandikia ujumbe ufuatao:- "Kungwi nina mhumba wangu kakulia hapa hapa mjini, siyo mshamba wa mji. Lkn shule aliishia form 2D (nadhani unajua uwezo wa kiakili wa wanafunzi wanaowekwa stream D). Hakuweza kuendelea baada wazazi wake kufariki. Mchumba huyu ana sifa zote, tatizo lake...
  17. O

    Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake

    Bibi harusi mtarajiwa, Rehema Chao (37) na mama yake mzazi, Agness Chao (75) wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Raum kugonga lori. Ajali hiyo iliyotokea baada ya Rehema aliyekuwa dereva wa gari hilo kukwepa shimo na kugongana na lori, pia imesababisha kifo cha...
  18. Nrangoo

    Zawadi gani umewahi kumpatia mchumba wako akafurahi?

    Habari ya asubuhi waungwana. Ninapenda kumnunulia mchumba wangu wa kike zawadi kidogo kwa kutambua thamani yake kwangu, kwa uwezo wangu mdogo wa bajeti ya kuanzia shilingi 10,000 --- 50,000 ningependa kununua zawadi ya thamani hiyo. Nitashukuru kupata mapendekezo ya aina nzuri ya zawadi...
  19. Mkemia kay

    Natafuta mchumba (KE)

    Kama heading inavyosema mimi ni mwanume aged 30 ni mwembamba mrefu na mweusi nimeajiriwa private company. Ninatafuta mwanamke aged 20 mpaka 35 awe na kazi au biashara nipo bagamoyo serious one hit my pm NB serious relationship kuelekea ndoa
Back
Top Bottom