kabila

Joseph Kabila Kabange ( kab-EE-lə, French: [ʒɔzɛf kabila]; born 4 June 1971) is a Congolese politician who served as President of the Democratic Republic of the Congo between January 2001 and January 2019. He took office ten days after the assassination of his father, President Laurent-Désiré Kabila in the context of the Second Congo War. He was allowed to remain in power after the 2003 Sun City Agreement ended the war. He was elected as president in 2006 and re-elected in 2011 for a second term. Since stepping down after the 2018 election, Kabila, as a former president, will be a senator for life, according to the Constitution of the DRC.Kabila's term was due to expire on 20 December 2016, according to the terms of the constitution adopted in 2006. Officials suggested that elections would be held in November 2016, but on 29 September 2016, the nation's electoral authority announced that the election would not be held until early 2018. Talk focused on the need for a census before holding elections. In August 2018, Kabila announced that he would step down and not seek reelection in the December 2018 general election. He was succeeded by Félix Tshisekedi in the country's first peaceful transition of power since independence.
While in power, Joseph Kabila faced continuous wars in eastern Congo and internal rebel forces supported by the neighboring governments of Uganda and Rwanda.

View More On Wikipedia.org
  1. BICHWA KOMWE -

    Wanyaturu ni kabila pekee lisilo na athari ya lugha kimatamshi; Wanawake wapo pia ni wakali sana

    Hakuna kitu inakera unalikuta lidada linachanganya "R" na "L" kwenye matamshi. Unakuta ni msomi au mzuri tu lakini unamsikia anatamka "chakuRa" au "ajaRi". "UsijaRi baby" !! Nikikutana na lidada linaongea Kiswahili cha "R" "R" kama mgambo wa Congo huwa naghairi kumzagamua kabisa. Namnasa...
  2. Malaika wa Misukosuko

    Ni kabila gani hapa Tanzania ambalo wanawake wa kabila husika wana Lips nene kama za wanawake wa Ki ivory coast ?

    Kama uzi unavyojieleza hapo juu nataka kufaham ni kabila gani la hapa Tanzania ambalo wanawake wao wana Lips nene/pana kama walivyo wanawake wa Ki ivory coast ? Nataka kufaham tu, kama hulijui kabila Hii post ipite kama unazunguka Round about na pikipiki ya wizi.
  3. BabuKijiko

    Wakuu naomba mnisaidie kabila sahihi la kuoa Tanzania?

    Wakuu naomba mnisaidie kabila sahihi la kuoa Tanzania?
  4. Mgosi Mbena

    Mmiliki wa website ya unitedrepublicoftanzania anapotosha kuhusu Kabila la Wabena au jamii ya wabena?? Tutake radhi

    Wabena ni kabila la watu wenye akili sana wanaopatikana tanzania mkoani njombe. Idadi yao ni takribani milion 1 na kitu…..(makadirio) pia kabila hili linapatikana mikoa jirani kama morogoro ,Iringa ,Ruvuma. LAKINI PIA AFRICA NCHINI ETHIOPIA Kuna kabila linajiita Bena (Bannaa) wanaishi katika...
  5. Yoda

    Kufurahia, kusemwa na hata kujivunia kabila lako sio kosa au dhambi

    Dhana ya makabila na ukabila huwa inafanyiwa upotoshaji kwa makusudi au kukosa uelewa hasa na wanasiasa kwamba watu kutambuana kwa makabila yao, kusemwa kwa makabila yao na kufurahiwa kwa makabila yao ni makosa makubwa au dhambi. Huu ni upotoshaji mbaya sana, kote duniani kuna nchi nyingi tu...
  6. Xi jiping

    Nataka nianzishe kabila langu. Je, inawezekana?

    Napata hili wazo baada ya kuona makabila mengi ya Africa yanashindwa kuikomboa nchi kitechnolojia na kiuchumi kisa kua na uwezo mdogo wa kiakili. Nataka nianzishe kabila cha watu wenye akili kama wa Israel (kama unachuki nao kwa kujaliwa akili ruksa kutema povu) Hapa natafuta magenius kama 100...
  7. 2 of Amerikaz most wanted

    Afrika: Kabila la Mangbetu kuna baadhi ya mila na desturi tuachane nayo ni ukatili kwa watoto

    Mangbetu ni watu kutoka Central Afrika wana ishi Kusini mwa Zande ndani ya kaskazini mashariki nchini congo. Hili kabila linajikita na kutanua na kurefusha vichwa vya watoto wao, kama njia moja wapo ya kuabudu miungu yao. Wana amini kumfanyia head elongation mtoto ni ishara ya urembo na kuwa...
  8. Poppy Hatonn

    Tshisekedi hakushinda kura. Alipewa urais na Joseph Kabila

    Ule Uchaguzi uliotokea kwanza miaka mitano iliyopita Tshisekedi hakushinda. Alipata urais kwa hisani ya Joseph Kabila. Kanisa Katoliki lilisema "kesho tutamtangaza mshindi wa Uchaguzi.' Halafu hilo tangazo halikufanyika kwa sababu Papa Francis alitoa maagizo Kanisa lisiingilie mambo ya siasa...
  9. mwanamwana

    Tunapoelekea uchaguzi mkuu 2025, tuepuke wagombea wanaotaka kutugawa kwa misingi ya udini, ukabila, jinsia na ukanda

    Nianze kwa kumnukuu Hayati Mwalimu Nyerere... Inapotokea vipindi vya uchaguzi wagombea wakiwa wanatafuta kura, pamoja na sera nzuri za kujiuza wanazokuwa nazo, pia huweza kutumia njia nyingine mbalimbali za kusaka kura. Sababu hizo zinaweza kuwa ukabila, udini, ukanda au jinsia. Wanaweza...
  10. GoldDhahabu

    Kabila linaweza kubadilika kutoka kabila moja hadi jingine?

    Huwa ninawashangaa watu wanaojisifia makabila yao katika msingi wa damu. Naamini, kama vipimo vya DNA vingefanyika, kuna watu wangejishangaa kufahamu kuwa hawana uhusiano wa damu na kabila analojinasibu nalo. Kabila, kwa mtazamo wangu, msingi wake ni utamaduni na si damu. Miaka ya nyuma...
  11. I

    Kabila la wahindu linataka kuhamia Israel kufuata asili yao na liko tayari kupambana na Hamas

    Huku kukiwa na mzozo wa kikabila nyumbani, jumuiya ndogo kaskazini-mashariki mwa India inajaribu kuhamia Israel, ambako wanasema mizizi yao ni uongo. --- Aizawl, India – Joseph Haokip, an undergraduate student in Manipur, is excited at the thought of going to Israel. He is ready to join the...
  12. U

    Wivu na chuki ya maendeleo mbaya sana: Waigbo wa Nigeria ndio kabila lenye akili na uwezo mkubwa kibiashara, wanakomolewa ila bado wanadunda

    Nigeria kuna makabila 371 ila kuna makabila matatu maarufu 1. Hausa = Hili ndio kabila lenye watu wengi zaidi Nigeria na Afrika, Hawa wapo nyuma sana mambo ya elimu na hata huko kwao hakuna sana maendeleo miji imejaa omba omba lakini ndio walioshikilia power ya nchi kwenye siasa, Jeshini...
  13. Kijana LOGICS

    Mama mkwe mtarajiwa hataki binti yake aolewe na Kabila langu

    Mimi ni Mwanaume 28yrs mkurya nilivyofika Dar nilikutana n'a bint mmoja nikamtongoza akakubali. Huyu binti (21yrs) ni mgeni Dar from mkoa X nyanda za juu kusini anaishi kwa shangazi yake Dar Hakuwahi kuniuliza Kabila nahisi alijua mimi ni from dar /pwan kwasababu Mimi Sina ukabila...
  14. sky soldier

    Sifa za Kabila, muonekano, taifa, Dini,n.k. zimewahi kukufanya uonekane mbaya hata ulipokuwa mwema au uonekane mwema hata ulipofanya baya ulitetewa ?

    Nakumbuka niliwahi kwenda kituo cha polisi kwa kosa flani hivi dogo tu ila ghafla likakuzwa sana ionekane mimi ni muhalifu mkubwa, ni siku niliyojifunza waweza kuumwa kichwa usiku ukakamatwa kwa uzururaji ila polisi wakaikuza kesi iwe unachorea ramani majambazi, sasa kule kituoni huwa wanaandika...
  15. Objective football

    Mbinu gani ulitumia kuishi na kabila la wanguu? Moto wao sio mchezo!

    Hii nchi kubwa aiseeh, sikuwahi elewa kama kuna jamii zinazoogopwa na watu wengine namna hii! Yani kila mtu anakwambia hapa wamejaa wanguu huwezi ishi hapa kimbia haraka!
  16. B

    Jina "Nyengombili" ni wenyeji wa mkoa gani na kabila gani?

    Naomba kujua tafadhali. Jina Nyengombili ni kabila gani na wenyeji wa mkoa gani? Maana ya jina nini? Nimelipenda sana hilo jina nataka nimuite mwanangu
  17. sky soldier

    Je, Mmeru na Mwarusha ni kabila moja?

    Hawa ni watu wa wapi? Nilijaribu kufatilia wameru ni kweli wanasikilizana na wamachame wapo tofaauti na wachaga, nadhani ni ni wamasai walioamua kuhamia Machame, hupenda kubeba visu na pia kibiashara bado wana mwamko mdogo. Kwa Mwarusha nae naona wanatahiri kama wamasai na kuna fimbo za bomani...
  18. sky soldier

    Tukiachana na wachaga, Kuna kabila lingine lina utamaduni wa kurudi na kujumuika kwenye vijiji vya mizizi yao nje ya misiba?

    Ni utamaduni unaonishangaza sana, kila ikifika december wiki 2 za mwisho Wachaga wa nje ya mikoa na nje ya nchi hukusanyika pamoja kwenye sehemu za asili zao huko Kilimanjaro. Kwa miaka kadhaa nishazoea kuona status za wachaga watatu wanaoishi nje ya nchi wanapost status wamerudi, Yupo anaeishi...
  19. Stephano Mgendanyi

    Waziri Dkt. Ndumbaro: Tamasha la Kabila la Wamatengo Kufanyika Kila Mwaka

    WAZIRI DKT. NDUMBARO: TAMASHA LA KABILA LA WAMATENGO KUFANYIKA KILA MWAKA Tamasha la Utamaduni wa kabila la Wamatengo Mkoani Ruvuma litafanyika kila mwaka ili kutangaza utamaduni wa kabila hilo na Mkoa wa Ruvuma ndani na nje ya Tanzania. Hayo yameelezwa Oktoba 30, 2023 na Waziri wa Utamaduni...
Back
Top Bottom