Nilipitia uzi flani humu unaitwa "Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea"
Ndipo nikagundua na mimi nimefanywa dampo la wafanyabiashara kujipigia pesa kwa kuuza vitu vilivyopitwa na...
Wabongo wengi tunapenda sana vya bure kwenye ulimwengu wa kidijitali, ni mwendo wa kudownload muvi / games / series / miziki / vitabu / software / window , n.k. nakumbuka hata nikiwa chuoni maktaba ilituandalia vipeperushi vya tovuti za kudownload vitabu bure, pia mwalimu wetu wa somo la...
Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu...
Habari wadau.
Appartment ya vyumba viwili vya kulala. Sebule jiko na choo inapangishwa maeneo ya tabata kisukulu. Ni 3km ukitokea Mandela Road EPZA ama TFDA office ubungo external.
1. Nyumba ipo ndani ya fence na kuna geti. Parking ipo ya gari ndogo
2. Umeme na maji inajitegemea
3. Vyumba...
Msaada wadau natafuta fundi Mzuri nasisitiza mzuri maana mafundi wa electronics "wengine" wabahatishaji.
Hivyo kama unafaham fundi anae jua kutengeneza hizi external hard drive Naomba anisaidie.
External nilizonazo zinawaka ukiziconnet ila hazisomi sio kwenye computer au kwenye TV.
Nauza External Hard Drive aina ya Transcend yenye ukubwa wa GB 1000
Haina changamoto ya aina yoyote na ukiinunua ndio utaamini nilikua nasema kweli au natania.
MREJESHO
Imeshauzwa
Nauza External hard drive (Toshiba) yenye ukubwa wa GB 500
Ipo kwenye hali nzuri sana na haina tatizo la aina yoyote
Bei Ni Tshs 65,000 maongezi kdg yapo
Nipo Mbezi Stand ya Magufuli
TAYARI IMESHAUZWA
Purpose of Role
The role is responsible for developing and implementing a framework of partnerships that aligns the shared objectives of corporate activities, the Unilever sustainable living plan, growth, and reputational issues of UTT with key external stakeholders and opinion formers and...
Wapendwa.
Siko hapa kwa ajili ya ku expose shida zangu, ila naomba msaada kwenu ndugu zangu.
Ninauza hard disk ya 2TB ninahitaji sh. 200,000/- tu ili nilipie fremu ya biashara.
Kudanga siwezi, wala sio hulka yangu, ndio nimeingia rasmi kwenye ujasiriamali.
Call +255 755 233 968
Nauza EXTERNAL HDD 750GB used but but in Mint Condition.
Haina tatizo,inaweza kutumika pia kama internal
70,000/=
location:Dar-es-salaam
wa.me.255716889489
Habari,
Zipo external za transcend, used but in mint condition.
2TB kwa 100,000 FIXED
3TB kwa 200,000 FIXED
Call 0712198128
Call 0712198128
Call 0712198128
CAREER OPPORTUNITY
Marie Stopes Tanzania (MST), a Non-Governmental Organization, is a social enterprise and a leading provider of family planning, sexual and reproductive health care and allied services. MST is a partner of the Government of Tanzania and a member of the Marie Stopes...
Mzigo ni 160,000 njoo nikuuzie kwa 140,000
SPECIFICATIONS UKUBWA NI TERABYTE 1,
PERFORMANCE & HEALTH NI 100%
SPEED 3.1
Nipo Dodoma piga simu 0625796805
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.