habari vijana.
nauza brand new machine ya kuprint tshirts fasta fasta.
bei ni laki nane tu ( 800,000/=) manufacture anaitwa ADKINS.
ukihitaji piga namba 0616 577 289 mashine ipo kimanga Dar es salaam, ni brand new haijawai tumika.
kwa kijana uliyopo mazingira ya chuo itakusaidia sana...
LAPTOP COMPUTER HP INAUZWA BEI SAWA NA BURE
Brand: HP
Model: Probook 450 G5
Ram: 16
Storage: 512 (SSD)
Proccesor: core i5
Bei: Tsh 680,000/-
Computer bado ipo Kwenye Hali nzuri kabisa
Location Mbezi Dsm
Phone No: 0714739838
Karibuni
Nauza Oxygen Concentrator Litre 10 kwa matumizi binafsi au ya hospitali. Bei 2 Mil, Maongezi yako. Nitafute kwa namba 0744117116, napatikana Dar mkoani natuma
Bei ya jumla ni PC 10 kwa 130k tu lakini piah ni 25,000/-
Kuna edition nne za Scientific calculator na bei zinatofautiana lakini Casio fx 991 Ms first edition ndo bei zake hizo nafuu
#usipigwe na kitu kizito
Whatsapp 0699358049
Karibu sana wewe mwanachuo,mwanafunzi,mwalimu, wafanyabiashara...
Viatu ni vizuri na imara sana.
Bei: 12,000 tu
Napatikana Dsm Segerea mwisho.
Mawasiliano: 0744252541
Ukihitaji huduma ya delivery utaletewa kwa gharama zako.
Mikoani pia utatumiwa kwa gharama zako.
Habari zenu ndugu zangu?
Ninauza TV mbili za inch 32 Brand Hisense na PS3 moja kwa 900,000 tu!
Nilikuwa nachezesha PS mtaani (DSM) lakini nimepata ajira na nina hama Mkoa.
Unaweza kuja ofisini kwangu kujihakikishia kama utapenda Mkuu.
Mali hizi ni nzima namimi ndio mmiliki halali.
Hizi ni...
Je unafanya biashara ya ukopeshaji na ungependa kupata mfumo wa computer utakaokusaidia shughuli zako za ukkopeshaji?
LOAN MANAGEMENT SYSTEM
Mfumo wa usimamizi masuala ya kuweka pesa na kukopa
Mfumo maalumu kwa ajili ya vikoba, microfinance, taasisi za ukopeshaji na watu binafsi wanao...
Wana jamii forum nasafisha Banda kuku broiler wa wiki nne na siku 2 - 85 wamebaki na kila mmoja nauza 5500 ..wanapatikana mbweni jkt. Kwa mawasiliano 0612630936
Ninauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 Individual. Bei milioni mbili laki moja tu. Imekimbia kilometa 601,bado mpya, ni pikipiki nzuri kwa matumizi ya usafiri binafsi zaidi. Ipo Kigamboni na kadi yake ipo. Karibuni tufanye biashara
Habari wapendwa nahitaji mnunuzi mwenye kujua thaman ya uwekezaji Nauza place yangu heka 3.
Location: njia ya bagamoyo mkenge
Document: Zipo na linatambulika na serikali ya kijiji
Nilinunua 2019 Nauza nimeshindwa kufanya chochote kutokana nipo mbali napo.
WhatsApp 0715160365
Call 0747464694
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.