Search results

  1. Labani og

    Je, Simba walikuwa wapi hadi Yanga anafikisha makombe 30?

    Wakuu Leo nimelia sana Baada ya kufuatilia record za timu zenye makombe mengi ya Ligue na kuja kugundu kuwa Simba Wana makombe = 22........lkn wababe Yanga Wana makombe = 30 ......na ligi ilianza mwaka 1964 Nmeshtuka sana Hadi ghafla nmeanza kulia [emoji24][emoji24][emoji24].......Je makolo...
  2. Labani og

    Ali Kamwe: Nileteni yule comedian wa Simba aje apate semina ya habari

    Nikiwapa semina kwenye idara ya habari, nileteeni yule comedian wa makolo (Ahmed Ally) naye apokee somo, mlete hata kwa viboko.
  3. Labani og

    Ali Kamwe: Simba tutawafuata na bakora waje kujifunza Kwa yanga

    Rais wa klabu ya @yangasc Injinia @caamil_88 ametoa elimu kwa uongozi wa klabu ya @tpmazembeofficiel ambao wamefika makao makuu ya klabu hiyo hapo jana wakitaka kufahamu ni namna gani klabu ya Yanga imeweza kubadirisha mfumo wake wa kiundeshaji na kuweza kutawala soka la ndani na nje kwa muda...
  4. Labani og

    Ali Kamwe: Tutabeba makombe, Kila mwanachama awe na lake

    “Klabu kubwa kama TP Mazembe imesafiri kutoka DR Congo kuja hapa Jangwani kujifunza kwa kichwa chetu, Rais wetu Eng. Hersi Said halafu kuna watu wako nyumba ya 16 tu jirani hapo, wanapiga kelele kuwa hawana cha kujifunza kwa Yanga. “Niwaambie tu, tutabeba Makombe hadi kila Mwanachama atakuwa...
  5. Labani og

    TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

    “Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo mbalimbali kwenye Mfumo wetu wa Mabadiliko ya Uendeshaji" Simon Patrick, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga...
  6. Labani og

    Kimeumana: Refa aliyekataa goli la Guede afungiwa

    Mwamuzi msaidizi namba mbili wa mchezo kati ta Yanga dhidi ya Kagera Sugar, Shaban Mussa kutoka Geita ameondolewa kwenye ratiba ya waamuzi kwa mizunguko mitano (5) kwa kosa la kushindwa kutafsiri vema sheria za mpira wa miguu. Mwamuzi huyo alikataa bao halali lililofungwa na mchezaji, Joseph...
  7. Labani og

    Tetesi: Ayoub kuikacha Simba mwishoni mwa msimu huu

    TETESI: Nyanda wa Klabu ya Simba, Ayoub Lakred ameamua kuondoka klabuni hapo mwisho wa msimu huu baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja klabuni hapo kufikia ukomo. Kwa mujibu wa ripoti Ayoub (28) raia wa Morocco amepata ofa kutoka moja ya vilabu Nchini kwao hivyo hayupo tayari kuendelea kusalia...
  8. Labani og

    Mimi ni Simba: ila hii Yanga inakera

    Ukweli Yanga wanakera, timu haifungwi, timu hausuruhu, timu tangu ligi imeanza iko nafas ya kwanza, mvua zikaja bado iko nafas ya kwanza, hidaya kaja kapita Yanga bado iko nafas ya kwanza Ukwel Yanga wanaifanya ligi ionekane haina ushindani, TFF liangalieni hili Yanga wana haribu Ligi, ivi...
  9. Labani og

    Simba wanatamani Fei Toto afunge, lakini hawataki kumaliza wa 3 Kwa msimamo

    Makolo wanataka Fei afunge pia wanaitaka namba 2 kwenye ligi... hapo ndo wanachanganyikiwa. Je kweli ni akili hizi
  10. Labani og

    Kila mchezaji hapa nchini anatamani kucheza Yanga

    Za chini chini naskia Kila mchezaji huko ukoloni (Simba) anataka kuforce kusajiliwa na Yanga .....alianza Chama Baada ya kuzinguliwa kamaind na kubeba begi Hadi kwao Kibu pia kwa lolote lile Simba wapo tyr kumfanyia ...lkn jamaa anataka kwenda Yanga Onana ....ayubu wote hawa wanataka kuja...
  11. Labani og

    Ali Kamwe: Tunaomba uongozi wa Simba umsajili kocha wa mamelodi

    "Nichukue fursa hii kuwapongeza sana viongozi wa Simba, wako very very smart, wanaakili wana brain nzuri ya kujua mpira, yule kocha (Benchikha) alishafika mwisho lakini sisi kama Yanga tulifurahishwa na maamuzi ya yule kocha kuletwa kwa sababu tulikuwa na kisasi naye, kwahiyo hawa mabwana...
  12. Labani og

    Kocha wa Simba kuchukua ubingwa na kujiudhuru

    𝐔𝐥𝐢𝐬𝐡𝐚𝐰𝐚𝐡𝐢 𝐤𝐮𝐨𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐩𝐢 𝐤𝐨𝐜𝐡𝐚 𝐚𝐤𝐚𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 #𝐊𝐨𝐦𝐛𝐞 [emoji471] 𝐌𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐥𝐚𝐟𝐮 𝐮𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐰𝐚𝐤𝐞 𝐚𝐤𝐚𝐯𝐮𝐧𝐣𝐚 𝐦𝐤𝐚𝐭𝐚𝐛𝐚? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unaambiwa hii imetokea pale mjini... ukoloni
  13. Labani og

    Simba wapongezwe kombe la muungano ni kubwa

    Uchambuzi wangu Kombe la muungano ni kombe la bonanza linalohusisha timu mabingwa wa TZ bara na visiwani ( Zanzibar) so kitendo Cha mnyama kuchukua ubingwa huu Ina maanisha Simba ndiye mwamba wa timu zote za TZ bara na Zanzibar ukimtoa Yanga Kwanini Simba ni baba lao Tz ukiitoa Yanga Kama...
  14. Labani og

    Uchambuzi: Simba imejifunza madhara kuwabia Yanga wachezaji airport

    Msimu uliopita makolo walijigamba kuwa wachezaji wake wote waliibiwa Kwa Yanga pale walipokanyaga tu airport....Kwa msioelewa ni hivi ....Yanga inatafuta wachezaji then inawakodia ndege but kutokana na ujasusi wa 5imba inakwenda kuwanasa airport...Yanga wanabaki kushangaa[emoji23][emoji23]...
  15. Labani og

    Je, ni kweli Wanyakyusa wameshindikana linapokuja suala la Uigizaji?

    Ukienda kule DSTV (Jua Kali) utawakuta familia ya kina Mwaipopo [emoji23] ambao ni Gabo, Eliudi, Mwaipopo, Uncle Lusajo na Chichi & Mama Gabo, familia yenye kila aina ya vituko. Hawa jamaa ni moto [emoji91] [emoji91] [emoji91] aisee wanakamia show sijapata kuona full confidence na kuitawala...
  16. Labani og

    Ali Kamwe: tutakwenda Zanzibar kumfuatilia my wetu (Simba)

    "Sisi hatushiriki Muungano Cup kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu,lakini tutakwenda Zanzibar kufatilia hali ya my wetu" - Alikamwe. Ambapo tutajua amekula nini, amefikia wapi, ameimprove vipi kwenye Michezo yake.
  17. Labani og

    Maajabu: Simba yaingia nusu fainali kibabe Kombe la Muungano

    MUUNGANO CUP: Nusu fainali Kombe la Muungano Mnyama Simba SC kukipiga na KVZ wakati AzamFC kumenyana na KMKM Michezo hii kuruka mbashara kupitia #AzamSports1HD Je, ni timu gani kutinga fainali? #MuunganoCup #KVZSimba #AzamFCKMKM Nb: Simba ni timu pekee duniani ....imeingia semi final bila...
  18. Labani og

    Kitenge: Ni ngumu Simba kupata point kwenye mechi zilizobakia

    “Biashara ya Simba ishakuwa ngumu msimu huu, Ni ngumu kwa Simba kuvuna alama tatu kwa mechi zilizobaki kutokana na kufanya vibaya uwanjani mara kwa mara” - @nasrikhalfan_ @sportsarena88.9 @kivumbisokalanyumbani Je unakubaliana na hili???
  19. Labani og

    Benchika: wachezaji wa Simba ni wagumu sijawahi kuona, nisilaumiwe mimi

    BENCHIKA: WACHEZAJI WANGU NI WAGUMU KUELEWA, NISILAUMIWE MIMI. Tangu nimeanza kufundisha mpira sikuwai kukutana na timu yenye wachezaji wagumu kuelewa kama hii simba timu inacheza tofauti kabisa na matakwa yangu. Nitaongea tena na viongozi wangu kama nitakubaliwa kuunda timu yangu upya msimu...
  20. Labani og

    Je, unaenjoy nini pale Simba ilipigwa?

    Salaam wakuu, Makolo poleni na kipigo Kila mtu Huwa na kile kinachomfanya aenjoy kwenye soka la hapa bongo na hivi Huwa havifanani from one person to another Mfano: Mimi Huwa makolo wakikandwa Huwa na enjoy kelele/ lawama za mashabiki wa 5imba pale ambapo wakipoteza mechi, hata kama nilitaka...
Back
Top Bottom