Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 16,216
- 25,002
Ukienda kule DSTV (Jua Kali) utawakuta familia ya kina Mwaipopo ambao ni Gabo, Eliudi, Mwaipopo, Uncle Lusajo na Chichi & Mama Gabo, familia yenye kila aina ya vituko.
Hawa jamaa ni moto aisee wanakamia show sijapata kuona full confidence na kuitawala hadhira jinsi wanavyotaka.
Ukienda pale mjini Azam burudani Kwa wote, unakutana na tamthiliya kali ya BUNJI kama sijakosea tamthiliya yenye kichapo hatari.
Hapa unakutana na waigizaji hatari sana kina mwamposa (jamaa anapiga kinyaki mwanzo mwisho) + biti nyingi pia Kuna Isarito mwakalindile etc.
Hawa jamaa ni moto aisee wanakamia show sijapata kuona full confidence na kuitawala hadhira jinsi wanavyotaka.
Ukienda pale mjini Azam burudani Kwa wote, unakutana na tamthiliya kali ya BUNJI kama sijakosea tamthiliya yenye kichapo hatari.
Hapa unakutana na waigizaji hatari sana kina mwamposa (jamaa anapiga kinyaki mwanzo mwisho) + biti nyingi pia Kuna Isarito mwakalindile etc.