Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,978
- 24,599
Za chini chini naskia Kila mchezaji huko ukoloni (Simba) anataka kuforce kusajiliwa na Yanga .....alianza Chama Baada ya kuzinguliwa kamaind na kubeba begi Hadi kwao
Kibu pia kwa lolote lile Simba wapo tyr kumfanyia ...lkn jamaa anataka kwenda Yanga
Onana ....ayubu wote hawa wanataka kuja Yanga ....Je Sasa Kila mtu akienda Yanga ..,... balance of power itakuaje
NB
SASA KAMA KILA MCHEZAJI ANATAKA KUCHEZA YANGA NA KOCHA NDIO GAMONDI WEWE HUOGOPI......!!!!🫵
Kibu pia kwa lolote lile Simba wapo tyr kumfanyia ...lkn jamaa anataka kwenda Yanga
Onana ....ayubu wote hawa wanataka kuja Yanga ....Je Sasa Kila mtu akienda Yanga ..,... balance of power itakuaje
NB
SASA KAMA KILA MCHEZAJI ANATAKA KUCHEZA YANGA NA KOCHA NDIO GAMONDI WEWE HUOGOPI......!!!!🫵