Kitenge: Ni ngumu Simba kupata point kwenye mechi zilizobakia

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
16,216
25,002
“Biashara ya Simba ishakuwa ngumu msimu huu, Ni ngumu kwa Simba kuvuna alama tatu kwa mechi zilizobaki kutokana na kufanya vibaya uwanjani mara kwa mara” - @nasrikhalfan_
@sportsarena88.9
@kivumbisokalanyumbani

Je unakubaliana na hili???
Screenshot_20240422-154006.jpg
 
Mechi ngumu ni Namungo na ndugu Yao Azam na nasikia Simba wanataka Kutumia nafasi hii kumfanya fei top scorer (watampa 3 kama Tabora(rage fc)walivyofanya )
 
Timu ya simba ina viongozi mbumbumbu! Na pia inaendeshwa kienyeji sana.

Yaani katika mazingira haya magumu inayopitia, huku ikiwa na kikosi kisicho na rotation ya wachezaji; bado wanakubali eti kwenda kushiriki kombe la muungano wa nini sijui!! Wameshindwa kujifunza kwa Yanga aliyekataa kwenda kupoteza muda kwenye hilo bonanza!

Wasipoangalia, nafasi ya tatu itawahusu msimu huu.
 
Timu ya simba ina viongozi mbumbumbu! Na pia inaendeshwa kienyeji sana.

Yaani katika mazingira haya magumu inayopitia, huku ikiwa na kikosi kisicho na rotation ya wachezaji; bado wanakubali eti kwenda kushiriki kombe la muungano wa nini sijui!! Wameshindwa kujifunza kwa Yanga aliyekataa kwenda kupoteza muda kwenye hilo bonanza!

Wasipoangalia, nafasi ya tatu itawahusu msimu huu.
Ni Mbu Mbu mbu according rage
 
“Biashara ya Simba ishakuwa ngumu msimu huu, Ni ngumu kwa Simba kuvuna alama tatu kwa mechi zilizobaki kutokana na kufanya vibaya uwanjani mara kwa mara” - @nasrikhalfan_
@sportsarena88.9
@kivumbisokalanyumbani

Je unakubaliana na hili???View attachment 2971065
Haya ni ukweli mtupu iwapo Inonga atakuwa sehemu ya kikosi.

Inonga alishalipwa na upande wa pili ili aiumize timu na anampango kazi wa kutekeleza hayo.

Kama hawawezi kuwaamini vijana wengine basi huu ndio mwisho.
 
Back
Top Bottom