Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 16,216
- 25,002
MUUNGANO CUP: Nusu fainali Kombe la Muungano Mnyama Simba SC kukipiga na KVZ wakati AzamFC kumenyana na KMKM
Michezo hii kuruka mbashara kupitia #AzamSports1HD
Je, ni timu gani kutinga fainali?
#MuunganoCup #KVZSimba #AzamFCKMKM
Nb: Simba ni timu pekee duniani ....imeingia semi final bila kucheza mechi yeyote.
Michezo hii kuruka mbashara kupitia #AzamSports1HD
Je, ni timu gani kutinga fainali?
#MuunganoCup #KVZSimba #AzamFCKMKM
Nb: Simba ni timu pekee duniani ....imeingia semi final bila kucheza mechi yeyote.