James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,585
- 2,674
Nimepita mtandaoni huko nimekuta hili shirika limeweka tangazo kwamba kutakuwa na maboresho leo usiku kuanzia saa 6 mpaka tarehe 28.
Maboresho hayo yatahusisha T-PESA, data(mliofunga faiba mjiandae kisaikilojia) SMS, kupiga simu, kununua salio, kutuma na kupokea pesa,
Maboresho hayo yatahusisha T-PESA, data(mliofunga faiba mjiandae kisaikilojia) SMS, kupiga simu, kununua salio, kutuma na kupokea pesa,