Live coverage on JamiiForums
Part of demilitarisation...
IMG_20220911_155754_050.jpg
IMG_20220911_155751_200.jpg
IMG_20220911_155747_979.jpg
IMG_20220911_155746_060.jpg
IMG_20220911_155742_997.jpg
IMG_20220911_155740_405.jpg
IMG_20220911_155759_461.jpg
IMG_20220911_155756_539.jpg
 
Which world?

Tangu Russian Federation iivamie Ukraine wewe umenufaikaje na uvamizi huo? Mabadiliko gani chanya nchi za Africa imeyapata kwenye huo utumbo wa multipolar?
Unaiona hiyo more just world order Zimbabwe, Congo, Somalia, Mnymar au Burundi??
View attachment 2353558
The world is moving towards a more just world order and will be multipolar — Sergey Lavrov
 
Big boy toys! FAB-1000 in action in Ukraine. It’s safe to say that it is highly unlikely any VSUshnik in the vicinity survived

(VSUshniks = Ukrainian troops)

 
Sema hii vita watu wanakufa sana..hasa wanaume na vijana...Kweli DIPLOMASIA ya sasa imeshindwa kumaliza huu mzozo kweli??Hamna kitu kisichozungumzika...hapa haijarishi nani mnyonge, nani ananguvu au nani ana haki na nani hana haki.....Wanafunzi wa diplomasia na watu wadiplomasia hii inaweza kuwa case study na reference:THE TOTAL FAILURE OF DIPLOMACY TO END OR STOP RUSS-UKRAINE CONFLICT
 
Which world?

Tangu Russian Federation iivamie Ukraine wewe umenufaikaje na uvamizi huo? Mabadiliko gani chanya nchi za Africa imeyapata kwenye huo utumbo wa multipolar?
Unaiona hiyo more just world order Zimbabwe, Congo, Somalia, Mnymar au Burundi??
Hakuna multipolar world mpaka sasa..labda kama ipo kwenye process...kama hii vita italeta hiyo multipolarity tutaweza pata comparison in five years huko
 
Hili swala humu lime kuwa kubwa sana kiasi yaani utitiri wa mambo ya kitoto umekua mkubwa mpaka tumepoteza hali halisi ya dira ya Uzi huu ,Kuna watu kama akina galip walikua wakitema madini konki tupu japo wapo baadhi waliobaki ila hats hao wamepunguza morali ya uandishi,.Pro NATO. hawapendi kuambiwa kweli,hawa wanachukulia vita kama Moira wa miguu, pia kuna mdau aliesema watanzania wengi tuna matatizo ya akili nime mwunga mkono kwa wingi huo basis humu wamejaa na ndio wanao tusumbua humu.
Ukifautilia hii vita unaona kabisa kuna tofauti ya shabiki wa ngumi za Mandonga anayetafasiri vita vya Russia na Ukraine, hii ni vita inayoenda kuibadilisha dunia kutoka Western giants wakiongozwa na US na UK mpaka kupata NATO ya 'ASIA PACIFIC' ambao wanajivunia populations kubwa ambayo ndio nguvu za kiuchumi, sio kurusha mabomu
 
Putin aliivamia na kuitwaa kabisa Crimea 2014. Diplomasia na sanctions dhaifu havikuweza kuirudisha Crimea kwa Ukraine mpake leo. Inaonekana West nao wamechoka kufanya appeasement wameamua iwake tu.
Diplomasia kwa tyrants wakati mwingine huwa wanaichukulia kama ishara ya udhaifu.
Sema hii vita watu wanakufa sana..hasa wanaume na vijana...Kweli DIPLOMASIA ya sasa imeshindwa kumaliza huu mzozo kweli??Hamna kitu kisichozungumzika...hapa haijarishi nani mnyonge, nani ananguvu au nani ana haki na nani hana haki.....Wanafunzi wa diplomasia na watu wadiplomasia hii inaweza kuwa case study na reference:THE TOTAL FAILURE OF DIPLOMACY TO END OR STOP RUSS-UKRAINE CONFLICT
 
Sema hii vita watu wanakufa sana..hasa wanaume na vijana...Kweli DIPLOMASIA ya sasa imeshindwa kumaliza huu mzozo kweli??Hamna kitu kisichozungumzika...hapa haijarishi nani mnyonge, nani ananguvu au nani ana haki na nani hana haki.....Wanafunzi wa diplomasia na watu wadiplomasia hii inaweza kuwa case study na reference:THE TOTAL FAILURE OF DIPLOMACY TO END OR STOP RUSS-UKRAINE CONFLICT
Screenshot_20220911-164901_Twitter.jpg
 
Sema hii vita watu wanakufa sana..hasa wanaume na vijana...Kweli DIPLOMASIA ya sasa imeshindwa kumaliza huu mzozo kweli??Hamna kitu kisichozungumzika...hapa haijarishi nani mnyonge, nani ananguvu au nani ana haki na nani hana haki.....Wanafunzi wa diplomasia na watu wadiplomasia hii inaweza kuwa case study na reference:THE TOTAL FAILURE OF DIPLOMACY TO END OR STOP RUSS-UKRAINE CONFLICT
Dunia inapotaka kufanya "Reset" lazima Vita kubwa ipiganwe. Baada y hapo dunia itatafuta balance na new formation ya dunia itatokea.

Hii Vita ya Ukraine ni Vita kubwa (ya mabwana wakubwa), kwa hiyo, baada ya hii Vita mabadiliko mengi ya kidunia yatatokea.

Then, hapa ndio diplomacy itaendelea kufanya kazi yake ..
 
Back
Top Bottom