Live coverage on JamiiForums
Putin ameshindwa kuuangusha utawala wa rais zelensinky kama lulivokuwa lengo lake., askari wake wanaendelea kuchinjwa huku raisi zelensinky akiendelea kummvibia.,ikumbukwe kuwa Ukraine iliichakaza urusi huku ikiinyanganya ardhi hambayo bado inaendelea kuikalia kimabavu mpaka Leo
 
Putin ameshindwa kuuangusha utawala wa rais zelensinky kama lulivokuwa lengo lake., askari wake wanaendelea kuchinjwa huku raisi zelensinky akiendelea kummvibia.,ikumbukwe kuwa Ukraine iliichakaza urusi huku ikiinyanganya ardhi hambayo bado inaendelea kuikalia kimabavu mpaka Leo
Leo hii vita ikiisha na kila mmoja akabaki na alichonacho, ni nani atakuwa amepoteza zaidi?
 
Back
Top Bottom