mswahili said:Mugishagwe
Masuala ya waraka nimeahidi kumpatia Mkandara kama atataka. humu sitauweka naogopa maisha yangu kukatwishwa. wewe umesema Usalama wa Taifa kuna watu wa seminary za kanisa na huko jeshini unafahamu wazi wako watu wa sehemu gani?
Mkandara nadhani si ndugu yetu kama unavyolazimisha wewe na yeye.
maana sehemu ya kutukana kajitoa ' Amesema nyie waislamu mik.... yenu' angesema yetu.
Father Mbiku yupo pale na nina majina ya WAkristu walioingizwa pale wakiwa na division 3.
pia nina orodha ya wanafunzi zaidi ya miaka 300 ambao mwaka juzi waliomba kuingia kama Private sponsorship lakini ukiwa mkristu basi unapewa goverment sponsorship.
ninao majina ya watu waliopewa Goverment sponsorship na mzee Mkono kwa ukristu wao.
ninao hata waraka wa muungano ambapo umefichwa na Nyerere ila hapa si mahala pake kama nilivyosema hapo juu.
nakupa home work.
ilikuwaje nyerere awa support Biafra? ambao walijitenga na serikali halali? jibu Ukristu wa Nyerere ndio uliomsukuma kufanya hayo.
jiulize Iddi Amin na nguvu iliyotumika kumshambulia ilikuwa nini? kisa nyerere alitaka ukristu utawale Africa ndio maana hata Gaddaf akawa ana msaidia Idd Amin kwani vilikuwa vita vya kidini.
pia hutakiwi kumshambilia mtu hadi ndani mwake Nyerere alipeleka jeshi hadi katikati ya Uganda.tumeingizwa kwenye vita kumsaidia mkatoliki obote.
huyu ndio mwalimu aliyetuwekea usiku hadi bongo haijulikani kwenye ramani ya dunia. kisa udini+ukabila
Jizaledo said:Mswahili,
Ukienda mbali kughorodhesha Nyerere alivyofadhiliwa na Waislamu itaonekana kama unawasimanga hawa ndugu zetu. Mimi nisingependa uende huko, si vizuri. Pia siafikiani nawe kuyaleta majina ya akina Magufuli hapa kwani zaidi ya wao kuwa wakristo si dhani ni mahali pa kuwajadili kwenye mada hii. Ukifanya hivyo utaonekana unamkaba shingo kila ambaye ni mkristo. Waachie wao wafanye hilo wewe usiwajoin.
mswahili said:Kichuguu
Kawawa hana tofauti na Mkandara.
Jasusi
Nitafuatilia habari kamili.
The world has taken it upon itself to utter many ill-informed criticisms of the Jews of Europe for going to their deaths without any concerted struggle. But out of sympathy for the suffering of these people, and in recognition of the world's failure to take action at the appropriate time, the United Nations established the State of Israel in territory which had belonged to the Arabs for thousands of years. It was felt that only by the establishment of a Jewish homeland, and Jewish national state, could Jews be expected to live in the world under conditions of human security. Tanzania has recognised the State of Israel and will continue to do so because of its belief that every people must have some place in the world where they are not liable to be rejected by their fellow citizens.
But the Biafrans have now suffered the same kind of rejection within their state that the Jews of Germany experienced. Fortunately they already had a homeland. They have retreated to it for their own protection, and for the same reason - after all other efforts had failed - they have declared it to be an independent state.
In the light of these circumstances, Tanzania feels obliged to recognise the setback to African Unity which has occurred.
We therefore recognise the State of Biafra as an independent sovereign entity, and as a member of the community of nations. Only by this act of recognition can we remain true to our conviction that the purpose of society and of all political organisation, is the service of man.
mswahili said:JOKA KUU,
Lini Gaddaf alikuja kuomba msamaha kwa Nyerere? naomba uthibitisho.
Harakati za uhuru zilikuwa za waislam ndio maana utaona masheikh wameacha kazi na kufanya kazi ya kuzunguuka nchi nzima hata kabla ya mikutano ya Taa hata Tanu ilikuwa kwanza inaanza dua toka kwa sheikh haikutokea dua au misa toka kwa mchungaji. unataka nini ujue kama ilkuwa ni harakati za waislam, ambao wame sacrifice kwa ajili ya maanufa ya nchi na huo udini wangekuwa nao wasingemtanguliza Nyerere na kumuachia madaraka kwani lengo lao ni kuikomboa nchi.
wewe unajifanya unajua rekodi tizama picha za mikutano ya Tanu kwenye harakati za uhuru ni vibaraghasia na mabaibui tu. wenzetu mlikuwa kanisani kuwafurahisha wakoloni. na kama kuuliwa au kunyongwa waislam walikuwa tayari ili nchi yao ipate uhuru wa kweli.
unasema kuna fununu mwalimu alipokuwa UNO hapa hatuzungumzii fununu bali fact.
hata chuo kikuu cha Dar-es-salaam waislam walitoa michango mingi na mikubwa ili wananchi wanaufaike lakini leo akina Father Mbiku wanatufanya second- class citizen.mfano mzuri Bi Tatu alitoa mchango wa shiling mia tano huku mkristu pekee Nyerere alitoa mia mbili. leo tunaambiwa na akina Mlalahoi hatujui thamani ya elimu.fuatilieni michango ya ujenzi wa Udsm.
kuna mtu kaleta uongo wa Afghanstan kuwa uislam ni ukatili kwanini usimuulize Yvonne Ridley ambaye alikuwa mwandishi mwanadamizi wa The Independent huyu alikamatwa na Taliban alipoona ukweli na tabia nzuri za waislam akaamua kusilimu mtafuteni kwenye Google atakwambieni kama waislam ni wanyama au laa.
Hao waliomsomea Hitima Idd Amin hawana kosa wamefanya jambo la busara sana kwani ni muislam mwenzetu. huko kuna watu wanataka kumfanya mtatifu mtu aliyewabagua watu kwa kila hali kidini na kikabila na ameua na kuwatia vilema watu wengi tu. kaenda kuanzisha vita dhidi ya uganda ili kumfurahisha Mkatoliki mwenzake Obote.
Mugishgwe
katuachia uovu wa udini ambao bado mnaundeleza.