Clepatina
JF-Expert Member
- Apr 8, 2023
- 1,268
- 2,557
Pamoja na kuchukia mashoga ila kuna mashoga humu kuna saa wana make sense ila wewe una IQ kubwa sana siwez ku argue na wewe.Wakati unasubiri mtoto aliyelawitiwa miaka 20 iliyopita aje awasemee watoto wa sasa, wakati huo wazazi wa watoto wa sasa wako wapi?
Unafananisha uhanga wa kupigwa kwa wanawake na waume zao na ulawiti aliofanyiwa mtoto mdogo hadi akawa gay!!?
Msomi, upo serious kweli?
Bye.