Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,118
mabilionea wa mawe mkae chonjo
Ila umejitahidi mkuu...😜😜Mkuu Mpya wa Mkoa wa Arusha Paul Bashite Makonda ambaye amekuwa na tuhuma nyingi , kuhusishwa na mambo mengi, sasa ameshushwa cheo kutoka Katibu mwenezi wa chama cha CCm mpaka kuwa mkuu wa Mkoa huko Pembezoni mwa Tanzania.View attachment 2957868
Inasemekana kauli zake za kukejeli mawaziri, na wakubwa ndio zimesababisha kutumbuliwa na kuna wana zuoni wanaosema ile kauli kuwa "Samia na Magufuli ni kitu kimoja" ndio imemuondoa uenezi taifa"
Kumbuka kwenye Uenezi alikuwa moja kwa Moja anaingia NEC -ya CCM na alikwua na ushawishi nanoi ateuliwe wapi , nani agombee , nani asigombee lakini sasa ameshushwa cheo.
Arusha wamemsusa, wametua nguvu kubwa kukodisha magari ya Monaban na makada wengine wenye tours lakini wananchi hawana mpango wowte.
Sasa mkuu wa mkoa ulitaka akae kwenye foleni na msafara wake? Mkuu wa mkoa ndie raisi wa mkoa au hujui hilo?Au hujaangalia huyo Trafiki anvyozuia Magari na Pikipiki mpaka msafara upite.
Acha ushabiki wa kijinga.
Roho za kimaskini zina amini umaskini wao umeletwa na uwepo wa Matajiri.mabilionea wa mawe mkae chonjo
Kwake tu?Kilimanjaro Muhamed Babu anakaa kwenye foleni kama watu wengine, why yeye tu?Sasa mkuu wa mkoa ulitaka akae kwenye foleni na msafara wake? Mkuu wa mkoa ndie raisi wa mkoa au hujui hilo?
Msafara wa Makonda toka Airport kwenda Arusha kuanza rasmi kazi ya mkuu wa mkoa.Kama video inavyoonyesha sina maneno mengi
View: https://youtu.be/ROPeoYlrFmQ?si=jDKI7RBeS9glElqx
Ni vituko zaidi ya vituko,kesho nadhani ndio itakuwa front page ya gazeti la MwananchiVituko,
ni kamishna wa mkoa,kuwaita wakuu wa mikoa ndo mana wengine wanajiona miungu watu mfano huyo makondaSasa mkuu wa mkoa ulitaka akae kwenye foleni na msafara wake? Mkuu wa mkoa ndie raisi wa mkoa au hujui hilo?
Hakuna namna mkuu, inabidi Arusha mkubali ama mkatae ndio tayari mnaongozwa na huyo mnae muita mshamba...teh😜Mshamba ana mbwembwe za kikolomije ila ajue Arusha ndiyo mlango wake wa kutokea
Mimi siko Arusha niko Tarime huku,ila kwa machalii wa chuga atulize msambwanda huo vinginevyo atachemsha mapema sanaHakuna namna mkuu, inabidi Arusha mkubali ama mkatae ndio tayari mnaongozwa na huyo mnae muita mshamba...teh😜
Hizo mbwembwe za kuingilia A Town.Vituko,