Msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano

Mkuu Mpya wa Mkoa wa Arusha Paul Bashite Makonda ambaye amekuwa na tuhuma nyingi , kuhusishwa na mambo mengi, sasa ameshushwa cheo kutoka Katibu mwenezi wa chama cha CCm mpaka kuwa mkuu wa Mkoa huko Pembezoni mwa Tanzania.
Inasemekana kauli zake za kukejeli mawaziri, na wakubwa ndio zimesababisha kutumbuliwa na kuna wana zuoni wanaosema ile kauli kuwa "Samia na Magufuli ni kitu kimoja" ndio imemuondoa uenezi taifa"
Kumbuka kwenye Uenezi alikuwa moja kwa Moja anaingia NEC -ya CCM na alikwua na ushawishi nanoi ateuliwe wapi , nani agombee , nani asigombee lakini sasa ameshushwa cheo.

Arusha wamemsusa, wametua nguvu kubwa kukodisha magari ya Monaban na makada wengine wenye tours lakini wananchi hawana mpango wowte.

View attachment 2957868
Ila umejitahidi mkuu...😜😜
 
Au hujaangalia huyo Trafiki anvyozuia Magari na Pikipiki mpaka msafara upite.

Acha ushabiki wa kijinga.
Sasa mkuu wa mkoa ulitaka akae kwenye foleni na msafara wake? Mkuu wa mkoa ndie raisi wa mkoa au hujui hilo?
 
Sasa mkuu wa mkoa ulitaka akae kwenye foleni na msafara wake? Mkuu wa mkoa ndie raisi wa mkoa au hujui hilo?
ni kamishna wa mkoa,kuwaita wakuu wa mikoa ndo mana wengine wanajiona miungu watu mfano huyo makonda
 
Bongo nchi ya vituko kweli,naona naye RC ana blue lights,RPC kabla ya kwenda kupambana kulinda raia anahangaika na politicians?kwanza politicians ni akina nani?definition yao ni nini?
 
Back
Top Bottom