Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,214
- 42,086
Kwanza nianze kwa kumshukuru Rais Samia kwa kumpeleka Makonda Arusha!
Baada ya kufika jijini Arusha Mh Paul Makonda ameanza rasmi kazi leo na ameongea na baadhi ya wana chi na madiwani akisisitiza kuwa ni lazima jiji la Arusha liwe namba moja zaidi kwa utalii na watalii wanatakiwa kuwa salama zaidi masaa 24 kwani watalii hawaji Arusha kulala bali wanakuja kutalii na wanatakiwa kula raha masaa 24 uku wakiwa salama kabisa!
Amesema kuwa ni lazima kila mwana Arusha awe salama na hata asiye mwana Arusha ni lazima wote wawe Salama!
Amesema pia kuhusu wahuni wa mtaani wanaojiita wadudu atakaa nao na kuongea nao kwani ni watu wazuri lazima wataelewana na Arusha itakuwa salama salimini!
Anasema Arusha ni lazima liwe jiji la utalii namba moja nchini na linalovutia.
PIA, SOMA:
Uteuzi wa Ukuu wa Mkoa Arusha
Matukio baada ya Uteuzi
Baada ya kufika jijini Arusha Mh Paul Makonda ameanza rasmi kazi leo na ameongea na baadhi ya wana chi na madiwani akisisitiza kuwa ni lazima jiji la Arusha liwe namba moja zaidi kwa utalii na watalii wanatakiwa kuwa salama zaidi masaa 24 kwani watalii hawaji Arusha kulala bali wanakuja kutalii na wanatakiwa kula raha masaa 24 uku wakiwa salama kabisa!
Amesema kuwa ni lazima kila mwana Arusha awe salama na hata asiye mwana Arusha ni lazima wote wawe Salama!
Amesema pia kuhusu wahuni wa mtaani wanaojiita wadudu atakaa nao na kuongea nao kwani ni watu wazuri lazima wataelewana na Arusha itakuwa salama salimini!
Anasema Arusha ni lazima liwe jiji la utalii namba moja nchini na linalovutia.
PIA, SOMA:
Uteuzi wa Ukuu wa Mkoa Arusha
Matukio baada ya Uteuzi
- Msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano
- Paul Makonda aingia Arusha anakabidhiwa Ofisi muda huu na kuzungumza na Wananchi
- RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
- RC Makonda: Nimekoswa koswa mara 3 kupoteza maisha
- Arusha: Makonda akutana na Mwamposa na kufanyiwa maombi
- Paul Makonda: Watu wa Arusha wanaweza kwenda popote kupambana, iko mikoa unakuta waganga wengi wa kienyeji. Kutambulisha polisi wa kitalii
- Makonda atembelea maeneo yaliyoathirika na Mafuriko jijini Arusha
- Makonda amtumia Mwamposa kupata umaarufu kwa kisingizio cha Salamu za Rais Samia, ni mbinu duni sana