Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,256
- 19,930
Usafiri Arusha natamani apige marufuku vipanya mabasi pekee yatumike vivyo vipanya vipige ruti fupi kando ya jiji
Hivi ukitokea ukapata bahati ya mtende ukawa rais wa nchi hii, utawafanyia nini wapinzani wako? Ninavyohisi waweza kuwa zaidi ya Magufuri.Lema anabubujikwaa na machozi yasiyokatika na sasa ameanza kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu. Anawatukania w nzao hadi mama zao bila kosa lolote lile
Marekani ndiyo msemaji wako? Tujitahidi kujenga hoja.....kwahiyo we kama mwanaume utaolewa na mwanaume kisa USA? Au mwanamke ukaolewe na mwanamke kisa tu unapata mwongozo toka kwa marekani? Siyo kila jambo lazima tutumie references za nje na wao ni wapuuzi na wanamadhambi yao kibaoWatalii hawawezi kuja kwa MUUAJI! Marekani imeshasema ni muuaji , sasa ni kuitangazia Dunia kuwa yule Muuaji kapelekwa Arusha, MSIJE. HAWATAKUJA
Kama hapo Arusha mjini kuna maduka ya wahindi, wawe makini sana na hicho kijamaa kinachoitwa Paula Makondo, mnakumbuka ile tabia yake ya kutumia vitisho kama fala Sabaya kutaka apewe favours ambazo hazistahili.Kwanza nianze kwa kumshukuru Rais Samia kwa kumpeleka Makonda Arusha!
Baada ya kufika jijini Arusha Mh Paul Makonda ameanza rasmi kazi leo na ameongea na baadhi ya wana chi na madiwani akisisitiza kuwa ni lazima jiji la Arusha liwe namba moja zaidi kwa utalii na watalii wanatakiwa kuwa salama zaidi masaa 24 kwani watalii hawaji Arusha kulala bali wanakuja kutalii na wanatakiwa kula raha masaa 24 uku wakiwa salama kabisa!
Amesema kuwa ni lazima kila mwana Arusha awe salama na hata asiye mwana Arusha ni lazima wote wawe Salama!
Amesema pia kuhusu wahuni wa mtaani wanaojiita wadudu atakaa nao na kuongea nao na wataelewana na Arusha itakuwa salama salimini!
Anasema Arusha ni lazima liwe jiji la utalii namba moja nchini na linalovutia….
Usela wa kizamani umebaki kwa vijana wa Arusha tuhaiwezekani unapita eneo la stendi bangi inanuka na watu wanaona sawa tuh
arusha inapaswa kua na nidhamu
ni wakunyoshwa..mtu ukipasikia arusha na ukifika ni vitu viwili tofauti maneo ya starehe hakuna usalama kabisa vibaka na msongamano wa watu kama mbuzi ziziniUsela wa kizamani umebaki kwa vijana wa Arusha tu
Nilipita kwa mara ya kwanza mwaka jana,nikajiuliza hii ndiyo Geneva kweli? Binafsi sikupaelewani wakunyoshwa..mtu ukipasikia arusha na ukifika ni vitu viwili tofauti maneo ya starehe hakuna usalama kabisa vibaka na msongamano wa watu kama mbuzi zizini
Ulisikia tena watu wanaporwa na wezi kwenye boda boda? Ulisikia tena watu wanauawa wakitoka kutoa hela benki? Uliwahi kuwasikia panya road katika kipindi chake? Ulikuwa unaona tena mateja wanasinzia vituoni huku wamesimama? Uliina trna watu wakijisifu kwa kuuza madawa? Au mashoga wakijinadi hadharani..?Dar aliweza kuvamaliza hivi?
WasingethubutuEnzi zake dar haukuwa na ujinga kama ule wa panya road
Arusha nitakuja baada ya miezi minne! Najua kutakuwa kusafi kwa kila idara!Arusha inahitaji RC kichwa kibovu kama hiki kiwanyooshe.
Kumbe Marekani anachukia mauwaji kiasi cha hadi kufanya hivyo?Watalii hawawezi kuja kwa MUUAJI! Marekani imeshasema ni muuaji , sasa ni kuitangazia Dunia kuwa yule Muuaji kapelekwa Arusha, MSIJE. HAWATAKUJA
Na atapita nao kweli !hao wadudu ni wakutokomeza mara moja ashuke nao jumlajumla hadi kandokando mwa jiji maeneo ya tengeru
Mji wa Arusha huwa nauogopa sana kulala pale huwa naona ni bora nikalale Moshi nikiwa safarini 🙏😅😅Arusha nitakuja baada ya miezi minne! Najua kutakuwa kusafi kwa kila idara!
Panya road aliwaacha (hawa hawakuisha kipindi chake) watu kuporwa kwa pikipiki bado lipo halijaisha 100%. Mashoga aliwaacha mpaka wengine leo wana ji post social medias,Ulisikia tena watu wanaporwa na wezi kwenye boda boda? Ulisikia tena watu wanauawa wakitoka kutoa hela benki? Uliwahi kuwasikia panya road katika kipindi chake? Ulikuwa unaona tena mateja wanasinzia vituoni huku wamesimama? Uliina trna watu wakijisifu kwa kuuza madawa? Au mashoga wakijinadi hadharani..?
Makonda ata wa suprise sana, hivyo mnavyotaka a deal nao, ndivyo sivyo. Atatumia akili moja safi, wala haitajiki nguvuNa atapita nao kweli !
Wale huwa ni chui wa karatasi tu !
Ukiamua wakutishe watakutisha lakini ukiamua kuwachana unawachana kirahisi kabisa !
Hawawezi kushindana na mamlaka ikiamua kuwashughulikia !
Usalama ni priority ya kwanza kila binadamu anaihitaji na ni haki yake !
Hata hao wanaojiita wadudu wakikosa usalama watajisikia vibaya sana !
One good turn deserves the other !
Kama hutaki mabaya nawe usiwafanyie mabaya wengine ! 🙏🙏