Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,884
- 12,133
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, John Mongela akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda katika hafla ya kukabidhiana ofisi Leo April 8, 2024 katika ukumbiwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Pia viongozi mbali mbali wamehudhulia hafla hiyo.
PIA, SOMA:
Uteuzi kuwa Mkuu wa Mkoa
Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri
- Arusha wajipanga kumpokea RC Makonda
- Paul Makonda aingia Arusha anakabidhiwa Ofisi muda huu na kuzungumza na Wananchi
- RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
- RC Makonda: Nimekoswa koswa mara 3 kupoteza maisha
- Arusha: Makonda akutana na Mwamposa na kufanyiwa maombi
- Makonda: Watalii hawaji Arusha kulala wanakuja kula starehe, ni lazima Arusha iwe salama saa 24. Hao wadudu nitaongea nao
- Paul Makonda: Watu wa Arusha wanaweza kwenda popote kupambana, iko mikoa unakuta waganga wengi wa kienyeji. Kutambulisha polisi wa kitalii
- Makonda atembelea maeneo yaliyoathirika na Mafuriko jijini Arusha