Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,042
- 7,597
Ahadi zipo mkuu sema kama unavyotamani, sie nasi tunafanya kumkumbusha lakini kitu kimoja dhahiri, ni kwamba ama anakikimbia kivuli chake ama si mtumiaji mzuri wa mitandaoBinafsi napongeza uongozi wa jf maana nimekuwa kati ya wana warsha walio shiriki katika uzinduzi wa program hii kigamboni ingawa nimegundua mengi ambayo kimsingi jimbo ili nadhani dr ndungulire atajitaidi kufanya alivyo aidi. Si haba nikachangia kwa upande wa kagera maana ni kwetu ila jambo msingi hapa ni kuwa kila mwanakagera ashiriki kikamilifu na sio kumwachia mbunge.ningeoenda nione ahadi za mbunge hyu walau nishiriki kumkumbusha pale atakaposahau