TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

Kuna taharifa imewekwa kupitia kwa bukobablog kuhusu hatua za miradi hii, zinatia moyo ila kuna haja ya kujaribu kupush sana haya mambo vinginevyo viongozi wetu siyo wepesi sana kwakweli
 
Kuna taharifa imewekwa kupitia kwa bukobablog kuhusu hatua za miradi hii, zinatia moyo ila kuna haja ya kujaribu kupush sana haya mambo vinginevyo viongozi wetu siyo wepesi sana kwakweli
Hiyo ripot iko hapa ndugu rweye, jaribu kupitia post za nyuma kidogo
 
hamna ki2 kizuri kama kushirikiana.kama sugu anavyofanya na wananchi wake kule mbeya.baath hata hata ya barabara hakutemea serikal bali kati ya wananchi na mbunge wao sugu.nimeona nzega wameshaanza miradi yao waliokubariana na tushirikiane jamiiForums.labda najiuliza wa2 hawana huchungu na maendeleo ya bukoba au?kama wangekuwa na uchungu wa maendeleo wangeshilikiana hata na mataifa ya nje kama serikali ya bukoba cz huwez fanya kazi wenyewe tena na siasa ya Tanzania ilivyo mbunge wetu seek donation overseas. Fikiria outside the box.
 
hamna ki2 kizuri kama kushirikiana.kama sugu anavyofanya na wananchi wake kule mbeya.baath hata hata ya barabara hakutemea serikal bali kati ya wananchi na mbunge wao sugu.nimeona nzega wameshaanza miradi yao waliokubariana na tushirikiane jamiiForums.labda najiuliza wa2 hawana huchungu na maendeleo ya bukoba au?kama wangekuwa na uchungu wa maendeleo wangeshilikiana hata na mataifa ya nje kama serikali ya bukoba cz huwez fanya kazi wenyewe tena na siasa ya Tanzania ilivyo mbunge wetu seek donation overseas. Fikiria outside the box.
Na hiki ndo kitu wasichokijua hawa jamaa, kuwa tayari kushirikisha wenzao. Mikutano haipo as if ana woga wa kuongea, meli hajawai kuulizia bungeni na hakuna kitu kinachojulikana kwa wananchi kuhusu kuja na kutokuja kwa meli. Huyu mbunge akiwa hapo manispaa alitakiwa kuwa kioo kwa wenzie ila na yeye amekaa kulala lala kama wenzie wa CCM
 
Kagera Yetu, Umasikini Wetu

445880e64cdef7ea2b1acc6aa030a65c.jpg
1d2ffcd9a75fd74265ff46216334f2c3.jpg
 
Mbona akina dada ni wengi siku hizi na ni cheap, inakuwaje bado mtu anawapigia ndogo ndogo hawa vijokozi wasojua hata kuoga? this is madness
 
Tatizo la nyie watani wangu, mna mbwembwe na mipango miiiiingi sana, mwisho wa siku hamna kitu.

Muoneni mwenzenu Malinzi hadi anagombea uenyekiti wa mkoa wakati ana uenyekiti wa kitaifa, ambao unamtoa jasho - sifahamu anataka kujifunza mchangani.

Halafu hivyo vitu sijui ahadi za kufuatilia hapo/ vipau mbele mlivyoweka hapo naona ni vya kitoto sana, ambavyo mhaya mmoja tu angevishughulia na nyie mngebaki mnashughulikia mambo mazito.

Haya reserved.
Huyu Lwakatare alikuwa na mipango kama hii 2000-2005 alipokuwa CUF. Hakuna chochote alichofanya. Ngoja tuone safari hii na sisi bado tuna kumbukumbu.
 
Huyu Lwakatare alikuwa na mipango kama hii 2000-2005 alipokuwa CUF. Hakuna chochote alichofanya. Ngoja tuone safari hii na sisi bado tuna kumbukumbu.
Wahaya mambo mengi sana kuliko vitendo, wanatunyima sana raha huku uswahilini ila kwao ni maneno tu
 
KUTELEKEZWA KWA SOKO LA BUGASHANI - BUHEMBE

380ac885aaa4111e518b48239f0c56c5.jpg
2721da5e307ee15fbb25f762f047bd3f.jpg
6a722ebafa375de1fc78d955983e0bfa.jpg
db15c4588e5881c2d719e94d3e4043cd.jpg
be01b97580879130177bed434493b085.jpg
ec0a43e2a82e87f899c2f3e592592e93.jpg
679d906aaf81b812cd54a4790e19311c.jpg
bd26e18d30fc2dc304cecc9015785f2c.jpg
6c97a0d5c96ab76f8e0022e1feeee647.jpg
099611a83668304ea4228251.jpg[/IMG]
5c2c2b890c5b2ea271c0562dedda5f7d.jpg
13f144d36510cf248d0dbd8d4e08b69c.jpg
48ae43fc5840da859e9b2123e5ecadfb.jpg
384655d6bdbb628172934623880beb86.jpg


Soko hili lilizinduliwa rasmi mwaka 2012 lakini mpaka sasa miaka minne baadaye halijaweza kutumika hivyo kupelekea kuwa gofu.

Ujenzi wa soko ulitokana na mapendekezo ya wananchi katika vikao vya mitaa na kata, lakini wananchi hawa wa Buhembe wameshindwa kutumia soko hilo kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo usalama wa mali zao kwakua soko liko wazi pande zote na halina milango. Kero ya mvua pia imekua sababu ya wananchi wa Buhembe kutokutumia soko lao kwakua mvua zinaingia ndani pamoja na kukosekana kwa umeme.

Kutokana na hali hiyo, wafanyabiashara wamelazimika kujenga vibanda nje ya soko hilo kama inavyoonekana kwenye picha. Lakini pia wengine wameendeleza sehemu ya barabarani na kutengeza soko lisilo rasmi na hivyo kusababisha mvutano kati yao na watendaji wa mitaa na kata na halmashauri kwa ujumla.

Ili kuweza kutumia soko lao, wananchi wa Buhembe wameiomba halmashauri kuboresha hali ya soko hilo kwa kuweka kuta ili mvua isiingie na milango kwaajili ya usalama wa mali zao ombi ambalo halijaweza kushughulikiwa ndani ya miaka minne. Katika bajeti ya 2016/2017 pia kero ya soko hili haijazingatiwa.

Kama soko hili lingeendelezwa lingeweza kuhudumia sehemu kubwa ya kata Nshambya na Kahororo, kata yote ya Buhembe na Nyakato. Lingeweza pia kuhudiaa Bukoba vijijini na baadhi ya sehemu za Missenyi. Lakini pia lingekua fursa kubwa ya kiuchumi kwa wa watu wa ukanda huo kutokana na uwepo wa Chuo Kikuu cha Josia Kibirah maeneo jirani, Chuo cha ualimu Nkindo, shule za Mugeza, Ihyungo, Nyakato, Steven ambazo ni bweni na nyingine kadhaa. Lingeweza kusaidia kukuza biashara kwa upande huo na kupanua mji haraka zaidi.

Kwahivyo, Soko la Bugashani lililoko kata ya Buhembe ni RASILIMALI MFU nyingine katika manispaa ya Bukoba
 
Back
Top Bottom