Happiness Essau
Senior Member
- Aug 9, 2016
- 166
- 100
Sisi viongizi wetu waliofanikiwa kushika nafasi nzuri kama hizo si tunawatukana na kuwapiga mawePia wametoa waziri Mkuu, haipiti miezi miwili bila kufanya ziara ya zaidi ya sikuu saba, na mpaka sasa yuko Lindi kwa siku zisizopungua nne. Korosho zimepanda bei, bodi ya korosho imevunjwa na kuunda nyingine. Nadhani unaona faida walau mkoa/wilaya kutoa kiongozi mkuu wa nchi.
Tunashinda kwenye mitandao kuwakatisha tamaa