Jamhuri ya twitter hajui kama ni jamhuri inayojitegemea haiko kwenye muungano wa tanzagiza
Twitter kuna Rais na Baraza lake la Mawaziri.
Sisi tunajitolea kukomesha wapotoshaji.Lucas Mwashambwa ChoiceVariable wapewe tenda.
Akili ya Mbunge
Shida ya kupeleka vilaza kwenye taasisi ya kuisimamia serikali ndiyo hii.
Aibu nimeona mimi.Akili ya Mbunge
Huyo Maranja unamuona ana content Kwa Sababu ya upande aliopo.Siku akienda kule kijani atakuwa hana akili ya kujibu hoja yoyote.Mtu wa kwanza kupewa ajira ni Martin Maranja Masese a.k.a Mtikila Field Marshal.
Huyu akiwa upande wa CCM ehehehehee 😅!.
Actually viongoz wenye akili hawafiki 5% ya walioko bungeni. the rest ndio akina hawaukiona kauli kama hizi basi hatuna viongozi tena....... kiongozi makini hana haja ya kutafuta huruma za watu yeye akifanya kazi yake itamuinua vyema tu